Kwahiyo mtashirikiana kulima mpuga na mke wako au sio?Kuhus kipato changu siwezi kuweka hadhalani ila Nina uwezo wa kuingiza zaid ya 15000 na zaid ingawa pia n mkulima wa mpunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mtashirikiana kulima mpuga na mke wako au sio?Kuhus kipato changu siwezi kuweka hadhalani ila Nina uwezo wa kuingiza zaid ya 15000 na zaid ingawa pia n mkulima wa mpunga
Naona vijana hamsomi kitabu cha wanaumeHAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Kwahiyo Mungu ndo anatoa hizo bikra?Sas bikra sijajua yote ni matokeo maana mungu ndyo anayejua hatma zetu
Si unaenda kumtomba au kumpakaa majasho? Km unaenda kumpakaa majasho jiandae kisaikolojiaje? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Umeshakua sasa unakaribia kuoa, andika kiswahili kilichonyooka.Swahinglish unajua?? Huenda nmekosea
HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Huyo mchumba wa mkoani umepata muda wa kumchunguza kumjua hata kidogo, au umehemka kwa kusukumwa na nguvu za kichwa kidogo?HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Ahaaa.Hakuwah ila aliwahi kuwa na mahusiano yake ambayo jamaa alikuwa mkoani uko na dini walikuwa tofaut na ILO ndiyo lilikuwa tatizo kubwa la kutoelewana kwao
Binti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza sanaHuyo mchumba wa mkoani umepata muda wa kumchunguza kumjua hata kidogo, au umehemka kwa kusukumwa na nguvu za kichwa kidogo?
Tuko pamoja sana mungu ni mwema Kwa Kila jamboAhaaa.
Umeamua kumuunga mkono mtume Paulo alisema kuwa;
(Wafilipi 3:8
Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo😉🤣🤣
Demi
Joanah
Na wewe ukiwa na umri Gani?Sio single mother ni Binti wa miaka23
Ni hapana na si hapan.Saw madam hapan shaka