Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Naona vijana hamsomi kitabu cha wanaume
 
HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi

Jilipue, ila ndoa? Dah, I wish I knew
 
HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Huyo mchumba wa mkoani umepata muda wa kumchunguza kumjua hata kidogo, au umehemka kwa kusukumwa na nguvu za kichwa kidogo?
 
Hakuwah ila aliwahi kuwa na mahusiano yake ambayo jamaa alikuwa mkoani uko na dini walikuwa tofaut na ILO ndiyo lilikuwa tatizo kubwa la kutoelewana kwao
Ahaaa.
Umeamua kumuunga mkono mtume Paulo alisema kuwa;
(Wafilipi 3:8
Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo😉🤣🤣
Demi
Joanah
 
Ahaaa.
Umeamua kumuunga mkono mtume Paulo alisema kuwa;
(Wafilipi 3:8
Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo😉🤣🤣
Demi
Joanah
Tuko pamoja sana mungu ni mwema Kwa Kila jambo
 
Back
Top Bottom