Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha liwalo na liwe ingawa tabia za mtu mtu ni asili ya mtu ila tuishinazo tuu
Hujui kwamba ndio anachotaka hajaja kukaa na wewe ili akufulie, akupikie na kukuoshea vyombo amekuja ili umtombe sasa km hujui jiandae kisaikolojia utakipatapataDuuuh hatari sana hii
Binti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza s
Mkuu ningekuwa karibu na wew ningekupiga kofi moja la tako,yani demu kazalishwa unasema anajitunza daah..Binti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza sana
Hajawahi kuwa na mtoto mkuu ila tu alishawahi kuwa na mchumba sas jamaa yupo mkoa mwingne tofauti na anapoishi uyu Binti na tofaut ya kidini ilipelekea jamaa kuangalia mambo yake na kuliacha Jimbo likiwa halina mmilikiAngekuwa anajitunza an
Mkuu ningekuwa karibu na wew ningekupiga kofi moja la tako,yani demu kazalishwa unasema anajitunza daah..
Kweli wanaume wamebaki wachache sanaa.
Soma vizuri ulichoandika kakaHAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie
Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini
Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Ucheki na wowote mkuuBinti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza sana
Umeshawahi Kumkula,maana urafiki wenu siuelewiMim 27 ila yey sio single mother namjua vzur na tupo kweny mahusiano ya urafik za mwaka na nusu sas
Iyo sas ni Siri yetu
Hapo nitafanya kile kilichomo kweny uwezo Wang lakn nkichoka namwambia mbona sio vitaHujui kwamba ndio anachotaka hajaja kukaa na wewe ili akufulie, akupikie na kukuoshea vyombo amekuja ili umtombe sasa km hujui jiandae kisaikolojia utakipatapata
Ahahah seriously kabsa mkuu
15k per month?Kuhus kipato changu siwezi kuweka hadhalani ila Nina uwezo wa kuingiza zaid ya 15000 na zaid ingawa pia n mkulima wa mpunga