OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mtu anakuficha taarifa, halafu anataka umshauri. Bongo bahati mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo demu kama kaweza kumpiga jamaa chini kisa yuko mkoani ata wewe iko siku na wewe itatokea na kwako.Hajawahi kuwa na mtoto mkuu ila tu alishawahi kuwa na mchumba sas jamaa yupo mkoa mwingne tofauti na anapoishi uyu Binti na tofaut ya kidini ilipelekea jamaa kuangalia mambo yake na kuliacha Jimbo likiwa halina mmiliki
📌📌📌Aina hii ya vijana hujiua mwishoni mwa picha la kifilipino!!!HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie
Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini
Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Daaah ni mtihani kiukwel yote yanaweza kutokea kikubwa kumuomba mm sikudhamilia amuache jamaaa ila alinipa kisa kizima mpaka wazaziHuyo demu kama kaweza kumpiga jamaa chini kisa yuko mkoani ata wewe iko siku na wewe itatokea na kwako.
📌📌📌Aina hii ya vijana hujiua mwishoni mwa picha la kifilipino!!!
Mwenye mali akija kujipooza hapo kwa huyo mwanamke utaanza kumaindi na kutaka kupigana.Hivi nyie viazi mbatata hata kwa macho huoni umechukua mke wa mtu unataka kumfanya wako.Unahisi huyo mwanamke hajielewi au anakupenda sana wewe boya mmoja.
📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Umesema anajitunza, ahaaa sawa sawaBinti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza sana
Kila la heri mkuuNamuona hivyo but cjui yagizani mwake
Hiyo pesa ya posa kawaanzishie wazazi wako bili ya MAZIWA NA SANGARA WA MWANZA wakishakubariki njoo uandike Tena namana naona hauna BARAKA za wazazi unakuwa kama mwendawazimu kesho unataka kujinyonga achana na kujichimbia kaburi PUMBAVUHAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko
Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake
Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie
Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini
Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Upo sahihi kesho hatuifahamu ngoja yanishinde ntakuja na mrejesho piahHiyo pesa ya posa kawaanzishie wazazi wako bili ya MAZIWA NA SANGARA WA MWANZA wakishakubariki njoo uandike Tena namana naona hauna BARAKA za wazazi unakuwa kama mwendawazimu kesho unataka kujinyonga achana na kujichimbia kaburi PUMBAVU
Ni mama huyo aliyefiwa watoto Kwa kutoa mimba..Sio single mother ni Binti wa miaka23