Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

Hajawahi kuwa na mtoto mkuu ila tu alishawahi kuwa na mchumba sas jamaa yupo mkoa mwingne tofauti na anapoishi uyu Binti na tofaut ya kidini ilipelekea jamaa kuangalia mambo yake na kuliacha Jimbo likiwa halina mmiliki
Huyo demu kama kaweza kumpiga jamaa chini kisa yuko mkoani ata wewe iko siku na wewe itatokea na kwako.
 
HAbar za wakati.

Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie

Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini

Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
📌📌📌Aina hii ya vijana hujiua mwishoni mwa picha la kifilipino!!!

Mwenye mali akija kujipooza hapo kwa huyo mwanamke utaanza kumaindi na kutaka kupigana.Hivi nyie viazi mbatata hata kwa macho huoni umechukua mke wa mtu unataka kumfanya wako.Unahisi huyo mwanamke hajielewi au anakupenda sana wewe boya mmoja.

📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Huyo demu kama kaweza kumpiga jamaa chini kisa yuko mkoani ata wewe iko siku na wewe itatokea na kwako.
Daaah ni mtihani kiukwel yote yanaweza kutokea kikubwa kumuomba mm sikudhamilia amuache jamaaa ila alinipa kisa kizima mpaka wazazi
Wa jamaa wahataki ndoa labda Binti abadili dini
 
Duuh
📌📌📌Aina hii ya vijana hujiua mwishoni mwa picha la kifilipino!!!

Mwenye mali akija kujipooza hapo kwa huyo mwanamke utaanza kumaindi na kutaka kupigana.Hivi nyie viazi mbatata hata kwa macho huoni umechukua mke wa mtu unataka kumfanya wako.Unahisi huyo mwanamke hajielewi au anakupenda sana wewe boya mmoja.

📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Kwa uzoefu, msichana akikataa mwanzo kwasababu ana mahusiano yake, uaimlazimishe.

Ukiforce Kuna siku atakubali, lakini ipo siku utajuta.
 
HAbar za wakati.

Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie

Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini

Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Hiyo pesa ya posa kawaanzishie wazazi wako bili ya MAZIWA NA SANGARA WA MWANZA wakishakubariki njoo uandike Tena namana naona hauna BARAKA za wazazi unakuwa kama mwendawazimu kesho unataka kujinyonga achana na kujichimbia kaburi PUMBAVU
 
Kwa uzoefu, msichana akikataa mwanzo kwasababu ana mahusiano yake, uaimlazimishe.

Ukiforce Kuna siku atakubali, lakini ipo siku utajuta.
Kwasas hatma yang nmemkabidhi mungu liwalo na liwe
 
Hiyo pesa ya posa kawaanzishie wazazi wako bili ya MAZIWA NA SANGARA WA MWANZA wakishakubariki njoo uandike Tena namana naona hauna BARAKA za wazazi unakuwa kama mwendawazimu kesho unataka kujinyonga achana na kujichimbia kaburi PUMBAVU
Upo sahihi kesho hatuifahamu ngoja yanishinde ntakuja na mrejesho piah
 
Bro ushakaa kuwaza ni muda gani Hawa aliongea na nyoka mpaka akashawishika na kumpoteza mme wake..!? Afu wewe wa miezi sita tena mdada wa Gen-Z na ukute ni penzi la WhatsApp..😂💔 Mungu akupe nguvu kijana.😂💔✍️
Hakika brow
 
Back
Top Bottom