Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

Angekuwa anajitunza an
Binti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza s

Binti nimekuwanae kweny mahusiano ya urafik mda mrefu na baadhi ya tabia nimeziona yupo smart na anajitunza sana
Mkuu ningekuwa karibu na wew ningekupiga kofi moja la tako,yani demu kazalishwa unasema anajitunza daah..
Kweli wanaume wamebaki wachache sanaa.
 
Angekuwa anajitunza an



Mkuu ningekuwa karibu na wew ningekupiga kofi moja la tako,yani demu kazalishwa unasema anajitunza daah..
Kweli wanaume wamebaki wachache sanaa.
Hajawahi kuwa na mtoto mkuu ila tu alishawahi kuwa na mchumba sas jamaa yupo mkoa mwingne tofauti na anapoishi uyu Binti na tofaut ya kidini ilipelekea jamaa kuangalia mambo yake na kuliacha Jimbo likiwa halina mmiliki
 
Soma vizuri ulichoandika kaka
 
Angekuwa anajitunza an



Mkuu ningekuwa karibu na wew ningekupiga kofi moja la tako,yani demu kazalishwa unasema anajitunza daah..
Kweli wanaume wamebaki wachache sana
Hatari tupuuuuh
 
Me ndio nilikua mchumba w uyo binti we oa tu ni binti mrembo sn...alafu yupo mkoa unaanzia na herufi M...
 
Hujui kwamba ndio anachotaka hajaja kukaa na wewe ili akufulie, akupikie na kukuoshea vyombo amekuja ili umtombe sasa km hujui jiandae kisaikolojia utakipatapata
Hapo nitafanya kile kilichomo kweny uwezo Wang lakn nkichoka namwambia mbona sio vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…