Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Nimeona mikorosho kadhaa itigi na maeneo ya kongwa
Mkuu hii ni nchi ya kitropiki, korosho inastawi kila mkoa wa Tanzania.
Tunapenda sana badala ya kutumia maarifa tuliopewa shuleni. Tumekazana kuiponda elimu yetu badala ya kuitumia.
Kitu kikubwa ni jinsi gani utapambana na ukame.
Sisi waafrka tunataka kuwa kama mbuzi, vipi Jangwani wapande mazao sisi tushindwe ? Kuna documentari ipo you tube inaonesha Saudi Arabia walivyoamua kuotesha mpunga Jangwani kwa kushirikiana na wachina. Ipo siku warabu watajitosheleza chakula kwa kulima Jangwani, sisi tunashangaa tu.
 
Mtoa mada tunaomba update kila hatua ili kuhamasishana. Wazungu warabu hawawezi badili uchumi wetu bali sisi we nyewe.
 
Mkuu hii ni nchi ya kitropiki, korosho inastawi kila mkoa wa Tanzania.
Tunapenda sana badala ya kutumia maarifa tuliopewa shuleni. Tumekazana kuiponda elimu yetu badala ya kuitumia.
Kitu kikubwa ni jinsi gani utapambana na ukame.
Sisi waafrka tunataka kuwa kama mbuzi, vipi Jangwani wapande mazao sisi tushindwe ? Kuna documentari ipo you tube inaonesha Saudi Arabia walivyoamua kuotesha mpunga Jangwani kwa kushirikiana na wachina. Ipo siku warabu watajitosheleza chakula kwa kulima Jangwani, sisi tunashangaa tu.
Si ndiyo?
 
Nikukatishe tamaa tu,kila zao wakoloni walishalijaribu katika kila mkoa, korosho ni pwani na kusini,huko zitakusumbua sana,na pili huitaji kuacha kazi ili ulime, fanya vyote
Manyoni wakati wa mkoloni ilikuwa Dodoma kwa hiyo alime zabibu?
 
Wazo la kuacha kazi ni utoto huo!

Pia fanya utafiti vizuri Manyoni huko kuna watu wamelima wakaangukia pua naskia mashamba mengi yapo kwenye mapito ya tembo miche ikianza kutoka mwaka au miwili tembo wanapita wanatafuna
 
Nakushauri panda miembe ya kisasa...mazao yanayolazimu kuuza kupitia Ushirika usiyaamini.
 
Wazo la kuacha kazi ni utoto huo!

Pia fanya utafiti vizuri Manyoni huko kuna watu wamelima wakaangukia pua naskia mashamba mengi yapo kwenye mapito ya tembo miche ikianza kutoka mwaka au miwili tembo wanapita wanatafuna
kama tembo nashauri afuge nyuki kuzunguka shamba..na kuacha kazi sio wazo la kitoto wengi wanafanya kazi wasizo na furaha nazo na kuogopa kuishi bila mshahara...
 
MREJESHO

Miche idadi 600 nimepanda kwa wastani Kila heka Miche 30
 

Attachments

  • IMG_20241201_133044_833.jpg
    IMG_20241201_133044_833.jpg
    946.4 KB · Views: 13
  • IMG-20241129-WA0023.jpg
    IMG-20241129-WA0023.jpg
    82.1 KB · Views: 12
Back
Top Bottom