Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Habar ya leo,

Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.

Zipo heka 40

View attachment 3149500
Nasikia msnyoni na itigi korosho zinakubali sana na Bei ni nzuri

Wasiliana na TARI wakushauri mbegu nzuri kwa ukanda huo, tena upande mbegu moja kwa moja
 
Habar ya leo,

Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.

Zipo heka 40

View attachment 3149500
sikushauri ndugu.
nakushauri ulime Katani itakutoa zaidi kuliko Korosho
 
Watu wanaosisitiza kazi utadhani wao wametajirika na hizo kazi.
Utajiri ni matokeo tu boss, yaani ni ziada.

Cha msingi katika maisha ni kuweza kumudu mahitaji yako ya kila siku bila stress, ukiweza kupata akiba ukawekeza na ikakua mpaka kuwa tajiri, ni kheri zaidi.

Kazi haikupi utajiri, inakupa nafsi ya kuweza kumudu gharama zako za msingi(siyo anasa) za maisha. Na ilivyo duniani kote, matajiri ni wachache bali wafanya kazi ndiyo wengi....!
 
Habar ya leo,

Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.

Zipo heka 40

View attachment 3149500
Usipoteze nguvu zako mzee...!

Resources are scarce, tunza hela yako nayo ikutunze mbeleni.

Hebu pitia hapa chini(from google) kwanza kisha ufanye informed decision:

The ideal weather for cashew nuts is warm temperatures, well-drained soil, and a distinct dry season:

  • Temperature
    Cashew trees grow best in warm temperatures between 70°F and 90°F (21°C to 32°C). They can tolerate temperatures above 40°C, but should not drop below 10°C.

  • Soil
    Cashew trees grow best in well-drained, moderately acidic to neutral soil with a pH of 5.5 to 7.0. They can grow in low fertility soils if they receive enough nutrients.

  • Rainfall
    Cashew trees need between 500mm to 1200mm of rainfall per year. A good distribution of rainfall over time is important for a good yield.

  • Dry season
    A distinct dry season is important for fruit development. Dry weather allows the trees to focus on nut production instead of foliage growth.

Cashew trees grow well in tropical and subtropical regions. They are part of the Anacardiaceae family, which also includes mango and pistachio trees.
 
Usipoteze nguvu zako mzee...!

Resources are scarce, tunza hela yako nayo ikutunze mbeleni.

Hebu pitia hapa chini(from google) kwanza kisha ufanye informed decision:

The ideal weather for cashew nuts is warm temperatures, well-drained soil, and a distinct dry season:

  • Temperature
    Cashew trees grow best in warm temperatures between 70°F and 90°F (21°C to 32°C). They can tolerate temperatures above 40°C, but should not drop below 10°C.

  • Soil
    Cashew trees grow best in well-drained, moderately acidic to neutral soil with a pH of 5.5 to 7.0. They can grow in low fertility soils if they receive enough nutrients.

  • Rainfall
    Cashew trees need between 500mm to 1200mm of rainfall per year. A good distribution of rainfall over time is important for a good yield.

  • Dry season
    A distinct dry season is important for fruit development. Dry weather allows the trees to focus on nut production instead of foliage growth.

Cashew trees grow well in tropical and subtropical regions. They are part of the Anacardiaceae family, which also includes mango and pistachio trees.
Upo sahihi kiongozi
Kama ukipata muda karibu Manyoni Hadi Itigi uone Mashamba ya Korosho yalivyostawi na kwa sasa watu wanaokota mazao.

Acha tujaribu maisha upande mwingine, nikishindwa nitauza shamba na kwenda kubeti
 
Lima mkuu naomba nikutie moyo mie Niko kusini huku nimepanda ekari saba tu huu mwaka wa tatu napiga jembe mwenyewe baada ya kutoka kazini ,sina nguvu kama wewe lakini inshallah nataka niongeze ekari 3 mwaka huu ziwe kumi ,huu ni mradi wangu nimeamua kuanza nao kama mpango wa kustaafu kwani Bado miaka kama 25 hivi ndio nistaafu na ajira Niko na miaka 5 sasa
 
Nashida na mbegu au miche ya mikorosho napatikana maeneo ya itigi sijui ntaweza pata Kwa bei Gani? 0699665649 Whatsapp ...!! Namimi nimeoaza hela Kwa kununua heka hamsini na kuzifyeka changamto tu ni miche
 
Way back
Nilikuwa farm manager kwenye mashamba ya mikorosho singida ikungi na manyoni korosho Kwa singida Zina kubali Tena sana ila itakubidi uwe na watu wa kazi wakutosha
Mwenyewe hutatoboa chukua vibarua Dodoma au kigoma ingiza kambini wape mahitaji kazi ianze
Ila itakubidi ujipange sana financial
Kuanzia kusafisha Hadi kuvuna
Faida ipo kubwa sana..
 
IMG_20250221_092815_683.jpg
 
Habar ya leo,

Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.

Zipo heka 40

View attachment 3149500
Kwa huo ukame utatoboa kweli?
 
Habar ya leo,

Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.

Zipo heka 40

View attachment 3149500
Kwa huo ukame utatoboa kweli
Mkuu hii ni nchi ya kitropiki, korosho inastawi kila mkoa wa Tanzania.
Tunapenda sana badala ya kutumia maarifa tuliopewa shuleni. Tumekazana kuiponda elimu yetu badala ya kuitumia.
Kitu kikubwa ni jinsi gani utapambana na ukame.
Sisi waafrka tunataka kuwa kama mbuzi, vipi Jangwani wapande mazao sisi tushindwe ? Kuna documentari ipo you tube inaonesha Saudi Arabia walivyoamua kuotesha mpunga Jangwani kwa kushirikiana na wachina. Ipo siku warabu watajitosheleza chakula kwa kulima Jangwani, sisi tunashangaa tu.
Kweli waeleze
 
Niko na hekari 150 na nimefanikiwa kufyeka kama 50 hivi !! Inshallah kiangazi hiki namimi nioteshe mbegu za mikorosho masika inayokuja naimani namimi ntatia mikorosho shambani kwangu🙏🙏😊 Niko jiranii saana na Itigi
 

Attachments

  • DSC_0133.JPG
    DSC_0133.JPG
    784.6 KB · Views: 2
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom