Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

Niko na hekari 150 na nimefanikiwa kufyeka kama 50 hivi !! Inshallah kiangazi hiki namimi nioteshe mbegu za mikorosho masika inayokuja naimani namimi ntatia mikorosho shambani kwangu🙏🙏😊 Niko jiranii saana na Itigi
Mkuu na mimi nimenunua ekari za kutosha Kijiji cha Kashangu Itigi lakini ni karibu zaidi na Manyoni mjini

Naona mazingira yanafanana sana
Nimeingiza vibarua wanafyeka pori ili mwezi wa nane tutie kibiriti
Mvua za mwakani napanda na mimi ekari 50

Kwa anayetaka mashamba maeneo haya ainicheck inbox
Kuna ekari zaidi ya 200 zipo sokoni bei safi kabisa
 
Mambo ndo haya
Sasa
Managerial tasks
Diseases
1.leaf spot tumia madawa ya copper eg copper oxide na oxychloride
2.damping off tumia chlorothalonil, carbendazim ku prevent
3.powdery mildew tumia madawa ya sulphur
4.athracnose tumia madawa ya copper
5.fusarium wilts tumia madawa ya kukinga mfano mancozeb, chlorothalonil etc

Wadudu.....
 
Aisee tupambane saana mkuu, Wacha tuzidi jaribu fursa hii ya korosho inshallah inaweza tutoa kwenye dimbwi la umasikini
Mkuu na mimi nimenunua ekari za kutosha Kijiji cha Kashangu Itigi lakini ni karibu zaidi na Manyoni mjini

Naona mazingira yanafanana sana
Nimeingiza vibarua wanafyeka pori ili mwezi wa nane tutie kibiriti
Mvua za mwakani napanda na mimi ekari 50

Kwa anayetaka mashamba maeneo haya ainicheck inbox
Kuna ekari zaidi ya 200 zipo sokoni bei safi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Aisee tupambane saana mkuu, Wacha tuzidi jaribu fursa hii ya korosho inshallah inaweza tutoa kwenye dimbwi la umasikini
Kuna bwana mdogo yupo Manyoni - Sukamahela kauza kwenye mnada uluopita wa Korosho roba 160. Pamoja na kuwa zingine alinunua lakn anazo heka 45 za Korosho.

Tusikate tamaa maisha hayapo rahisi.
 
Tupeane na mbinu za kukabiriana na wanyama waharibifu ( Nyani ). Wanasumbua sana hawa jamaa
 
Back
Top Bottom