Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Mkuu hii ni nchi ya kitropiki, korosho inastawi kila mkoa wa Tanzania.Nimeona mikorosho kadhaa itigi na maeneo ya kongwa
Si ndiyo?Mkuu hii ni nchi ya kitropiki, korosho inastawi kila mkoa wa Tanzania.
Tunapenda sana badala ya kutumia maarifa tuliopewa shuleni. Tumekazana kuiponda elimu yetu badala ya kuitumia.
Kitu kikubwa ni jinsi gani utapambana na ukame.
Sisi waafrka tunataka kuwa kama mbuzi, vipi Jangwani wapande mazao sisi tushindwe ? Kuna documentari ipo you tube inaonesha Saudi Arabia walivyoamua kuotesha mpunga Jangwani kwa kushirikiana na wachina. Ipo siku warabu watajitosheleza chakula kwa kulima Jangwani, sisi tunashangaa tu.
Manyoni wakati wa mkoloni ilikuwa Dodoma kwa hiyo alime zabibu?Nikukatishe tamaa tu,kila zao wakoloni walishalijaribu katika kila mkoa, korosho ni pwani na kusini,huko zitakusumbua sana,na pili huitaji kuacha kazi ili ulime, fanya vyote
Zabibu tenaManyoni wakati wa mkoloni ilikuwa Dodoma kwa hiyo alime zabibu?
Mpwayungu VillageWalimu ni lini mtapata akili lakini?
Yaani uache Ajira ukalime korosho tena sehemu kame kama singida?
Aisee hizo hekari zingekuwa huku Newala aisee mwamba alishakuwa tajiri baada ya miaka 6 tu kwa kupanda minazimbona hekari ni chache
Kila wakifikiria namna wanavozitegemea hzo kazi kuwaendeshea maisha na wakijaribu kuvaa viatu vya jamaaa wanaona jamaa atalost😂😂😂Watu wanaosisitiza kazi utadhani wao wametajirika na hizo kazi.
Kilimo cha minazi kipoje huko kusini?Aisee hizo hekari zingekuwa huku Newala aisee mwamba alishakuwa tajiri baada ya miaka 6 tu kwa kupanda minazi
Wewe unanunua tu shamba unanunua minazi unaipandaKilimo cha minazi kipoje huko kusini?
Mi shamba lipo pwani nafikiria kuchukua nazi kutoka maeneo tofauti nizimwage, unapendekeza zipi mkuuWewe unanunua tu shamba unanunua minazi unaipanda
kama tembo nashauri afuge nyuki kuzunguka shamba..na kuacha kazi sio wazo la kitoto wengi wanafanya kazi wasizo na furaha nazo na kuogopa kuishi bila mshahara...Wazo la kuacha kazi ni utoto huo!
Pia fanya utafiti vizuri Manyoni huko kuna watu wamelima wakaangukia pua naskia mashamba mengi yapo kwenye mapito ya tembo miche ikianza kutoka mwaka au miwili tembo wanapita wanatafuna
Wazo zuriJaribu alizeti mkuu, huko si ndio yanalimwa sana .