Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Duuuh umenikumbusha 2001 - 2006 nilikuwa nahesabu kama hizo ila haikuwahi kutokea, mara mafuriko wakati mwingine soko nk. nasuiri sana mrejesho kijana
 
Duh.... huku mrejesho ilishindikana au ndo hvo mambo hayakupendeza kabisa?
 
Upo hatua gani kwa sasa ktk huo mpango? Tangu upande ina muda gani?
 
Mrejesho mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…