Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Soft Guy

Member
Joined
Dec 18, 2023
Posts
64
Reaction score
149
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
Soft Guy unawezaje kusukuma mavi ? Anyway tatizo umeshajiaminisha kwamba unashida ya kupata choo .

Hebu kula mboga za majani na matunda ,maji kwa wingi halafu acha kufikiria hiyo shida utakaa sawa
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
Tafta senocort dawa. Product from senna plant itakusaidia
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
Piga konyagi utakuja kunishukuru hapa

USSR
 
Google, fanya kila utakalo lipata huko. Nilikua na tatizo kama hilo na hua linajirudia rudia. Natumia maji ya kawaida ( room temperature? Asubuh nnapoamka tu cha kwanza ni maji. Asali mbichi sichanganyi chochote, kijiko kimoja kabla ya kila mlo.

Kuna kipindi hua naamua kukimbia umbali mrefu kupandisha na kushuka vilima, choo kinashuka!!! Au zoezi la situps vyote hivyo hua vinanisaidia sana vilevile juis ya ukwaju.
Wengi tu tuna hili tatizo sema ndio hivyo tena kila mtu na siri yake. Kukosa choo kuna tesa sana yaani ni kupata choo ni jambo la kawaida sana ila ukiikosa utajisikia vibaya utakua na mawazo sana. Pole sana najua unayopitia ila jitaidi uende na hospital hata zaidi ya mbili unapima na kulinganisha majibu.
 
Back
Top Bottom