Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
Suluhisho 𝐂𝐚𝐬𝐭𝐨𝐫 𝐨𝐢𝐥 nenda hapo pharmacy ila ukae karibu na choo usiende mbali asante kwa kuharisha.
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
DR Mambo Jambo
 
Google, fanya kila utakalo lipata huko. Nilikua na tatizo kama hilo na hua linajirudia rudia. Natumia maji ya kawaida ( room temperature? Asubuh nnapoamka tu cha kwanza ni maji. Asali mbichi sichanganyi chochote, kijiko kimoja kabla ya kila mlo.

Kuna kipindi hua naamua kukimbia umbali mrefu kupandisha na kushuka vilima, choo kinashuka!!! Au zoezi la situps vyote hivyo hua vinanisaidia sana vilevile juis ya ukwaju.
Wengi tu tuna hili tatizo sema ndio hivyo tena kila mtu na siri yake. Kukosa choo kuna tesa sana yaani ni kupata choo ni jambo la kawaida sana ila ukiikosa utajisikia vibaya utakua na mawazo sana. Pole sana najua unayopitia ila jitaidi uende na hospital hata zaidi ya mbili unapima na kulinganisha majibu.
Usigoogle dalili ya maradhi uliyo nayo ku google maradhi ni efficient way to convince yourself you're dying
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
Unalimbikiza madhara yake ni makubwa amua tu kafanya operesheni
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
kunywa juice ya ukwaju( siyo za azam) tengeneza mwenyewe,tafuta ukwaju loweka ,weka asali au sukari baada ya kuchuja kunywa ya kutosha
ikipita saa nzima hujaenda choooni ,utakua umerogwa. nicheck
 
Suluhisho 𝐂𝐚𝐬𝐭𝐨𝐫 𝐨𝐢𝐥 nenda hapo pharmacy ila ukae karibu na choo usiende mbali asante kwa kuharisha.
Mwambie tu anyweee nyumban motowake anawezaa jifungia choocha pharmacy ata akigongewa asifungue mlango
 
Ukifeli sana cheki na wamasai , wana dawa flan za kuflash tumbo,,,, utaharisha sana kila aina ya uchagu uliopo tumbon utatoka ! All the best, pia kula saba mapapai yaloiva vizuri
 
Ukifeli sana cheki na wamasai , wana dawa flan za kuflash tumbo,,,, utaharisha sana kila aina ya uchagu uliopo tumbon utatoka ! All the best, pia kula saba mapapai yaloiva vizuri
Nzurii sema unakesha chonii niliwahi kunywa nikasikia utumbo unatoka serkalkuu aisee nilipgopaa kha
 
Kama unaweza kutumia dawa za mimea/mitishamba sema unaweza kusaidika na ukapona kabisa hilo tatizo ila kama ni mfuasi wa kilokole unayeamini mimea ni ushirikina basi endelea na maombi.
 
Back
Top Bottom