Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

Kula matikiti ya kutosha ukichemka tengeneza juice ya ukwaju isiichakachue na maji mengi ukifeli nenda kwenye maduka ya dawa za kisunna Kuna kimbegu chaitwa habbat Mulku kiponde kunywa nusu saa nyingi tumbo litazibuka na utarudi kawaida ila ukila kimbegu hicho changanya na uji kidogo tahadhari usitoke baada ya kukitumia
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA
🌳 FAIDA ZA MCHANGANYIKO WA ORGANIC APPLE CIDER VINEGAR NA ASALI MBICHI 🌳

⚡Inarekebisha Acid, Alkaline, na Body PH katika miili yetu.

⚡Inarekebisha mzunguko wa damu mwilini.

⚡Inaondoa mgando wa damu (blood clotting)

⚡Inaboresha Nguvu za Kiume

⚡Inatibu tatizo la tumbo kujaa gesi

⚡Inatibu tatizo la kukosa choo

⚡Inazuia na kutibu homa za mara kwa mara

⚡Inaboresha Kinga Mwilini.

⚡Inatibu tatizo la ugonjwa wa gaut na arthritis

⚡Ina control uzito wa mwili

☘Changanya asali mbichi robo lita na siki ya tufaha (organic apple cider vinegar) nusu lita,
Changanya mchanganyiko wako vizuri kabisa.
🌿MATUMIZI 🌿
👉Chukua vijiko vitatu vya mchanganyiko wako koroga kwenye maji kikombe kimoja kunywa,
Utafanya hivyo kutwa mara mbili.

Endapo huna tatizo lolote la kiafya unaweza kutumia ndani siku sabaa

Kwa wale wenye afya tete, watumie zaidi ya siku 30.

Hizo ni Faida chache za kutumia mchanganyiko huo!!!

CHIEF SANG'IDA
 
Kinachokuunguza si chakula bali mavi yamejaa yanakuunguza....kitafunguka tu ila balaa lake sasa
 
Kama bado unasumbuliwa na hilo tatizo ama mtu mwingine ikitokea amepatwa na hilo tatizo tafadhali jaribu kutafuta mbegu za mti flani unaitwa Mlonge (Mlongi) tafuna mbegu 3 na umeze, baada ya muda wa lisaa kama itafika chukua tena 3 tafuna kabisa na umeze. Hizo mbegu zinasaidia sana sana na haiwezi pita saa limoja haujapata choo. Kuna mafuta yake yanaitwa Castrol Oil (kama sijakosea) yapo kwenye maduka ya madawa ila ukipata mbegu zake ndio vizuri.

Binafsi nina ushuhuda, nilikosa choo kwa siku 21, ndio siku 21 ila hizo mbegu ndizo zimenisaidia ndani ya dakika 40 pekee nikapata choo.
 
Matunda gani unakula? Matikiti?
Ushauri wangu ni jitahidi ule vyakula vyenye fiber.
Au tulitibu hilo ka dharura, kanunua brown blade , kula , then baada ya lisaa shushia na apples kama nne, hizi aple ni nzuri sana kwenye kujusanya uchafu wa tumboni na kuuweka sehemu moja muda wote huo uwe unaendelea na kazi zako ukiwa umelalia tumbo, then shushia na wine after 5 minutes, hasa redwine.
Ukifanya hivyo hata kama umerogwa lazima upate matokeo. Usipopata matokeo basi kajiangalie kwenye kioo, usipojiona kwenye kioo basi hilo mdiyo tatizo, yaani you don't exist
Blade ulitaka kumaanisha bread?? Eti mkuu
 
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.

Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.

Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote tumbo limejaa na kile chakula kilichopo ndani ya tumbo kinakuwa kama Cha moto kinaniunguza.

Kwahivyo nikiwa mbele za watu najifanya nikama Sina tatizo hata nikipewa chakula nakula vijiko viwili basi nimeshiba.Wengine wanasema nimepunguza kula Sana na kunipongeza lakini hawajui ni matatizo ninayopitia Mimi.

Kwa hali hii sijui kama nitatoboa kuishi Miaka mingi na sasahivi.Nikiwa na watu nafurahi ila nikiwa mwenyewe nalia Sana mateso haya.

Naombeni ushauri au msaada.

1. Kama ni maji nakunywa vikombe vitatu Kila baada ya lisaa hivyo Kwa siku ni zaidi ya Lita 3

2. Kama ni matunda natumia Sana

LAKINI MATOKEO HAMNA

Aloe Vera - chuma lile jani kunywa maji yake ikishindikana basi neda hospital lazima kuna ugonjwa.
 
Mgonjwa mwenyewe hajaleta mrejesho kwamba anaendeleaje au alitumia dawa gani akapona
 
Nunua ukwaju chemsha tengeneza juice nzito unywe inasaidia kupata choo.
 
Hospital umeenda mbalimbali na kufanya vipimo?
Umepima Thyroid function?
Body Metabolism yako huenda haiko vizuri.
Na ufumbuzi haupaswi kuwa wa aina moja , mwanzoni inabidi kufanya in multiples of solutions.
 
Back
Top Bottom