Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Ungekuwa mtuwa saikoloji ungeelewa nilichofanyaMkuu kumbe nawewe Huwa unatoa lugha chafu kiasi hiki
Mkuu kumbe nawewe Huwa unatoa lugha chafu kiasi hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani kakuambia Mbet ni kweli wameidhamini Simba SC hiyo Tsh 26.1 Bilioni Mkuu? Endeleeni Kudanganyika tu Mambumbumbu FC Original sawa?
Nilitaka niulize hili swali pia.Kodi simu hizi inachukuliwa na TPA badala ya TRA?
Mkuu hata kama jersey Mpya hazijafika ndiyo tucheze Vifua Wazi Kweli? Wacha kutukosea WanaMsimbazi wenzio ππNa Huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mwanaume mwenye umbea na domo domo kama wewe. Yaani kama siyo KE basi utakuwa shoga wewe.
Hamia ''Airtel" tu..!! Kwani shingapi?Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Mkuu hata kama jersey Mpya hazijafika ndiyo tucheze Vifua Wazi Kweli? Wacha kutukosea WanaMsimbazi wenzio ππ
Sasa huyo Manzoki wako Leo kabla Jua halijachwea atatambulishwa rasmi na tayari ameandaliwa Jersey namba 9
Mkuu huyo ameshasaini Kandarasi ya kuichezea Simba Kwa miaka 3 na atapewa Jersey namba 9, you just wait Sir
Uje geto nikulalie kwa juuSiwezi kusema chochote hadi Simba day ipite, km Jersey haitakuwepo, hapo ndo ntatia maneno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo hata zikitoka mwakani ni sawa sababu,Simba haihusiki kabisa. Vip huyo M-Bet atakubali manake mkataba kaingia na nyie na si Vunjabei.sio jukumu la Simba, ni la Vunjabei. Tatizo la watu wa humu wengi mnanakosa uelewa wa mambo hata ya kawaida tu, hata mikataba ya timu hauielewi lakini mnatoa comments na kuanzisha nyuzi
Ishu ipo hivi- ATC toka China inasombelea vifaa vya Sensa. Ndege aikutosha kupakia Jezi zote so zimekuja chache.Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Una kichaa weee? Au unataka kulaliwa wee???Uje geto nikulalie kwa juu
Sijaona tusi lolote kwenye Uzi wa Genta, na Wala hajaanza kumtukana mtu zaidi ya kujibu mashambulizi ya walioanza kumtukana. Kwenye hili haujamtendea haki jamaa maana alichofanya Genta ni kujibu mashambuliziUngekuwa mtuwa saikoloji ungeelewa nilichofanya
unajua Moto mkubwa unapiwaka msituni nini unapaswa kufanya?..ni kuwasha Moto mdogo ili uzime Moto mkubwa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hivi mkuu nawewe unao uwezo wa kumlalia mtu Kwa juu??Una kichaa weee? Au unataka kulaliwa wee???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nimeshangaa ππ[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hivi mkuu nawewe unao uwezo wa kumlalia mtu Kwa juu??