GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #121
Sina nilijualo ila 24/7 huachi Kunifuatilia hapa Jamiiforums Kudadadeki.....!!!Huna ulijualo lopo lopo wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina nilijualo ila 24/7 huachi Kunifuatilia hapa Jamiiforums Kudadadeki.....!!!Huna ulijualo lopo lopo wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna kitu unatafuta wee, usiseme hukuambiwa. LolUje tu na hako kasura kako katamu laah, ngoja nitandike kitanda kabisa.
Itakusaidia nini au kukuongezea nini katika maisha yako?Leo watanitambua Wapuuzi wakubwa hawa.
Tumewazoesha .... WOTE ..Mimi. I pacha wako Yanga... Bundi anahamaga mtaaa tu ... Hakuna mwaka mitaa yote pametulia..... Tunaendaenda tu ....nikuulize VUNJABEI alipewa kandarasi(aliyoshinda msimu uliopita) ya muda Gani!!? Hakujua hitaji ... "Stockpile" yake ilikuwa na hali Gani..!! Yaani "Inventory" ..... Ye ni mfanyabishara mkubwa ...anajua Kuna Order Point, Stockpile,inventory ..Ili storage yake is deplete..... TATIZO TUNAFANYA KAZI KWA MAZOEA .. ngumu sana kutoka...Kiukwel kuhusu swala la jezi wametukosea mashabiki wa simba.
Bill of ladingProcedure za kutowa mzigo ni hizi.
• Bill of loading
• C& F
• Tax
• Shipping line
• Port chargers
Mkuu Matola hata kama angewapa Briefcase company bado kwa nyakati hizi isingechukua muda mrefu kwasababu mambo mengi huwa yapo wazi.TPA lazima ahusike, na hapo kwenye bill of loading TRA ndio wanapokuaccess ulipe kodi kiasi gani.
Kwq ninavyojuwa mimi hata huyo Fred Vunja bei unaweza kukuta hana tatizo ila inategemea kazi ya Clearing alimpa nani, kuna vijana hapa mjini hawaogopi pesa ya mtu.
Ndio maana makampuni makubwa yataendelea kudumu maana hayana longolongo ila sisi tunaotaka kuinuwana na briefcase company mwishowe haya ndio madhara yake.
Maana ieleweke ukishampa clearing agent documents mambo yote anafanya yeye na uzuri sasa hivi ni kwa control number sasa sijui what's is not happening?
Wewe na Upumbavu wako WA kupewa Mimba kila mwaka kuna Mtu huwa anakulalamikia?Tupunguze upumbavu. Kama huna cha kuandika kaa kimya.
Sijui sasa hivi una majibu gani?Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Inasombelea?Ishu ipo hivi- ATC toka China inasombelea vifaa vya Sensa. Ndege aikutosha kupakia Jezi zote so zimekuja chache.
Majibu niliyonayo ni kuwa Wewe ni damn Fool na Umeshindikana.Sijui sasa hivi una majibu gani?
Kama anayekubandua au?Mkuu acha ushamba..
Mbumbumbu ni wale wanaoleta siasa(uccm)kwenye mpira ili wabebwe,ni wajinga kweli kweli!mbumbumbu fc ktk ubora wao
Ambao umepoteza muda wako Kuufuatilia.Ni Uzushi Mtupu!!
And how do you call yourself who argues with a damn fool?Majibu niliyonayo ni kuwa Wewe ni damn Fool na Umeshindikana.