Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

Kiukwel kuhusu swala la jezi wametukosea mashabiki wa simba.
Tumewazoesha .... WOTE ..Mimi. I pacha wako Yanga... Bundi anahamaga mtaaa tu ... Hakuna mwaka mitaa yote pametulia..... Tunaendaenda tu ....nikuulize VUNJABEI alipewa kandarasi(aliyoshinda msimu uliopita) ya muda Gani!!? Hakujua hitaji ... "Stockpile" yake ilikuwa na hali Gani..!! Yaani "Inventory" ..... Ye ni mfanyabishara mkubwa ...anajua Kuna Order Point, Stockpile,inventory ..Ili storage yake is deplete..... TATIZO TUNAFANYA KAZI KWA MAZOEA .. ngumu sana kutoka...
 
TPA lazima ahusike, na hapo kwenye bill of loading TRA ndio wanapokuaccess ulipe kodi kiasi gani.

Kwq ninavyojuwa mimi hata huyo Fred Vunja bei unaweza kukuta hana tatizo ila inategemea kazi ya Clearing alimpa nani, kuna vijana hapa mjini hawaogopi pesa ya mtu.

Ndio maana makampuni makubwa yataendelea kudumu maana hayana longolongo ila sisi tunaotaka kuinuwana na briefcase company mwishowe haya ndio madhara yake.

Maana ieleweke ukishampa clearing agent documents mambo yote anafanya yeye na uzuri sasa hivi ni kwa control number sasa sijui what's is not happening?
Mkuu Matola hata kama angewapa Briefcase company bado kwa nyakati hizi isingechukua muda mrefu kwasababu mambo mengi huwa yapo wazi.
 
Utopolo hamnaga jema. Kutwa kucha kama wanga kushupalia ya wenzenu na kutia choncho kwa yasiyowahusu. Huo uwongo wako mimi naukanusha kwa kuwapa habari za kweli kwamba sababu ya jezi kuchelewa ni kuzirudisha kiwandani kubadilisha nembo ya mdhamini maana tangu mwanzo simba ilijua itamalizana na sportpesa na kuendelea kudhamini lakini ilipoonekana kuwa ameshindwa wakati jezi zilishachapwa. Ilibidi zibadilishwe na kuondolewa nembo ya sportpesa ili iwepo ya m-bet aliyekidhi viwango vya kuwa mdhamini mpya halali. Huyo mwongo mpuuzeni. Tutamfundisha ukweli tarehe 13 jumamos atulize mzuka wake atajua hajui.
 
Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.

Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.

Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.

Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Sijui sasa hivi una majibu gani?
 
Back
Top Bottom