wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,468
- 2,090
![]()
Inawezekana hiyo hapo mie nafanya mkuu na inalipa
Hongera sana mkuu, unalimia wapi? Na maji unachukulia wapi mbona sijaona source yako ya maji unapochukua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Inawezekana hiyo hapo mie nafanya mkuu na inalipa
Kuna watu nimekuwa nikiona matangazo yao kuwa wanafunga hizi irrigation system, ila nashangaa hapa siwaoni aiseh.wekeni info za kutosha tuone uhalisia na pia cost zake na challenges
Jaman mwaka huu nimejipanga kulima kiteto lakn bado sina taarifa za kutosha japo mwezi ujao nitaenda kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu lakn kabla sijaenda huko ningepnda kupata taarifa zozote za awali ambazo zinaweza kunisaidia kuandaa bajeti ikae vizuri na kujiandaa kwa lolote.
NINGEPENDA KUJUA YAFUATAYO;
- Bei ya kukodisha ekari moja = 30,000 au gunia moja baada ya kuvuna
- Bei ya kulima kwa maana ya kuandaa shamba, kuotesha, kupalilia na kuvuna = kulima 25,000 - 32,000; kupalili 15,000 - 20,000; kuotesha 10,000
- Kiteto ni kubwa hivyo ningependa kujua maeneo ambayo ni mazri (ardhi haijachoka sana) sina hakika na hili itabidi utafute mwenyeji akusaidie zaidi.
- Aina ya mbegu inayokubali yaani ya mda mfupi mana naambiwa tayr msimu wa mvua ni mmoja tu( hapa ningepata mtaalam wa kilimo itakua vizuri zaidi)
- makadirio ya mavunokwa ekari moja = Gunia 10 kwa eka, pia hii inategemea na aina ya mbegu uliopanda na shamba
- Ushauir mwingine wowote ambao unaona utanisaidia kufanikisha suala langu pia nikipata contact za afisa kilimo huko kiteto nitashukuru sana. Usiende kichwa kichwa huko kama huna mwenyeji, zaidi watakukodishia mashamba yaliyochoka. na kama unapesa ni bora ukanunua pori ukaanza kulisafisha, hapo utakuwa na uhakika wa shamba unalolilima.
Kaka nashukusuru sana kwa mchango huu hapa ni mwazno mzuri Mungu akusaidieSio kwamba nakukatisha tamaa ila, suala la afisa kilimo sahau maana hawatakusaidia, kwani hata wao hawajui.
Anagalia majibu yangu hapo juu kny rangi ya bluu yatakusaidia.
Kaka nashukusuru sana kwa mchango huu hapa ni mwazno mzuri Mungu akusaidie
Asante sana nitakuPM kaka kwa msaada zaidKaribu sana. unweza kunicheki PM kama utahitaji msaada zaidi. Mimi pi mkuluma, nalima kiteto
Hongera sana EL kwa uamuzi wa busara. Ila nadhani hapo kwenye bold kwangu mm ni pazuri mno kuwa kweli (too good to be true) please please naomba upadefend.
- Mtaji ninao natafuta mashamba.
Ningependelea mikoa karibu na DarUkubwa gani na ungependelea mkoa gani?
hey now it's 2016... how abt ur success? wakati huo nilikua form one now nipo chuo nataka kujoin kweny kilimo... is it too late ?????JF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Samahan Mkuu hivi huko kiteto hakuna kilimo cha umwagiliaj,au mnategemea mvua tu?Karibu sana. unweza kunicheki PM kama utahitaji msaada zaidi. Mimi pi mkuluma, nalima kiteto
Mkuu hebu tusaidie updates ulipofikia kiongoziJF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.