Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

wekeni info za kutosha tuone uhalisia na pia cost zake na challenges
 
wekeni info za kutosha tuone uhalisia na pia cost zake na challenges
Kuna watu nimekuwa nikiona matangazo yao kuwa wanafunga hizi irrigation system, ila nashangaa hapa siwaoni aiseh.
 
Jaman mwaka huu nimejipanga kulima kiteto lakn bado sina taarifa za kutosha japo mwezi ujao nitaenda kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu lakn kabla sijaenda huko ningepnda kupata taarifa zozote za awali ambazo zinaweza kunisaidia kuandaa bajeti ikae vizuri na kujiandaa kwa lolote.

NINGEPENDA KUJUA YAFUATAYO;

  • Bei ya kukodisha ekari moja
  • Bei ya kulima kwa maana ya kuandaa shamba, kuotesha, kupalilia na kuvuna
  • Kiteto ni kubwa hivyo ningependa kujua maeneo ambayo ni mazri (ardhi haijachoka sana)
  • Aina ya mbegu inayokubali yaani ya mda mfupi mana naambiwa tayr msimu wa mvua ni mmoja tu( hapa ningepata mtaalam wa kilimo itakua vizuri zaidi)
  • makadirio ya mavunokwa ekari moja
  • Ushauir mwingine wowote ambao unaona utanisaidia kufanikisha suala langu pia nikipata contact za afisa kilimo huko kiteto nitashukuru sana.
 

Sio kwamba nakukatisha tamaa ila, suala la afisa kilimo sahau maana hawatakusaidia, kwani hata wao hawajui.

Anagalia majibu yangu hapo juu kny rangi ya bluu yatakusaidia.
 
Sio kwamba nakukatisha tamaa ila, suala la afisa kilimo sahau maana hawatakusaidia, kwani hata wao hawajui.

Anagalia majibu yangu hapo juu kny rangi ya bluu yatakusaidia.
Kaka nashukusuru sana kwa mchango huu hapa ni mwazno mzuri Mungu akusaidie
 
hey now it's 2016... how abt ur success? wakati huo nilikua form one now nipo chuo nataka kujoin kweny kilimo... is it too late ?????
 
Naomba kujua ivi kipi kinafaida, kuuza mahindi mabichi au kuuza makavu?
 
Mkuu MTOTO YATIMA vipi mpaka sasa umefanikiwa kupata taarifa kiasi gani? Mathalan aina ya mbegu ifaanyo kwa maeneo ya kiteto. Mwezi huu wa 12 ntatia timu huko kiteto kupiga kazi. Tutafutane mkuu
 
Karibu sana. unweza kunicheki PM kama utahitaji msaada zaidi. Mimi pi mkuluma, nalima kiteto
Samahan Mkuu hivi huko kiteto hakuna kilimo cha umwagiliaj,au mnategemea mvua tu?
 
Mkuu hebu tusaidie updates ulipofikia kiongozi
 
chardams nami naulizia kilimo cha umwagiliaji huko kiteto. Tunasubiria majibu. Alafu naona uko vizuri katika ufafanuzi wako. Mungu akuzidishie
 
Mtoto ya Tima hongera sana kilimo kinalipa. Haswa ukikodi hecre nyingi at least kwanzia 50 na kwendelea. Sasa mi shida yangu kiteto yiko kwenye kumwagilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…