Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Hii thread nimeipenda na nimekuwa nikifuatilia tangu mwaka jana.
Tafadhalilini (Malila, Ngongo...would appreciate your input),
Ningependa kununua biz-plan ya kilimo cha sehemu ya eka 250 hadi 500.
- Assuming nina shamba tayari.

  • Biz-plan must take into account irrigation, meaning I aim to harvest twice/3 times a year (drilled wells, approximity to water sources is the aim). So cost of laying out an irrigation network within the farm.
  • The biz-plan can be tailored to an area and what can be grown there and what the market is looking for (rotational farming for food crops & fruits); preferably Morogoro (Tuliani, Kilombero), Tanga, Pwani and Mwanza. Any other areas are ok, but access to markets is very important.
  • A combination or options for manual and machinery (tractor for farming) to be taken into account within the Biz-plan.

- Within the biz-plan, consider an option for cost of building a storage unit for atleast half of the farm products should the prices on the market be unfavourable at harvest time.

If one can offer this service, please PM me to discuss.
Shukrani.
 
Big up mkuu, hiyo ndo kazi pekee. Na napenda sana watu type yako. Make sisi watanzania tunapenda sana kazi za kuajiriwa tukiamini kwamba kazi za kilimo hufanywa na watu ambao hawajaenda shule.

Tuko pamoja
 
nimepata ekar sita huko pwan vp wakuu taratibu za kupima mashamba zinaendaje? Nataka baadae niwekeze minaz ya kutosha hapo.
 
nimepata ekar sita huko pwan vp wakuu taratibu za kupima mashamba zinaendaje? Nataka baadae niwekeze minaz ya kutosha hapo.

Binafsi nilimpata mtu anafanya michakato wa kupima, yupo Wizara ya Ardhi ukiweza ni PM nitakupa Namba yake
 
JF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF- hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.

kaka unauzoef au ndo unaanza?
unategemea mvua za Mungu au umwagiliaji? manake sina uhakika na hali ya mvua za huko, manake kwa kilimo cha kibongo mvua zimekua tatizosana asee!
 
elnino naona aliingia mitini, kagoma kutoa update ya wapi alifikia,. au tayari umeshakuwa milionare nini mkubwa.
 
mimi pia napenda kulima just give me guidance nitafutie namimi eneo nije mimi nimechoka kupokea mil moja kila siku kama take home. naweza kupata eneo nami nibadilishe maisha yangu napenda kulima sana na napenda kuwa mkulima mkubwa plse nisaidie. mimi hata 5 days a month naweza kukaa shamba nataka kutoka
 
mimi pia napenda kulima just give me guidance nitafutie namimi eneo nije mimi nimechoka kupokea mil moja kila siku kama take home. naweza kupata eneo nami nibadilishe maisha yangu napenda kulima sana na napenda kuwa mkulima mkubwa plse nisaidie. mimi hata 5 days a month naweza kukaa shamba nataka kutoka

Karibu sana ktk ulimwengu wa wakulima.
 
mimi pia napenda kulima just give me guidance nitafutie namimi eneo nije mimi nimechoka kupokea mil moja kila siku kama take home. naweza kupata eneo nami nibadilishe maisha yangu napenda kulima sana na napenda kuwa mkulima mkubwa plse nisaidie. mimi hata 5 days a month naweza kukaa shamba nataka kutoka

duh.... you are well off ..... nakushauri usitafute shamba kama unapata one million everyday =1M x 25days = 25 Millions per month
 
elnino
hongera. naomba na mimi nisaidie nipate mashamba napenda sana kulima niko serious na ninataka kuanza soon hata 50 eka plse help

kinjekitileh
 
JF
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF- hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Mkuu tunaomba tuambie maendeleo..wengine tumeamua kurudisha majeshi muda si mrefu ndani ya miezi..Nataka nipigane kwenye maeneo hayo..tunaomba changamoto yako..
 
elnino
hongera. naomba na mimi nisaidie nipate mashamba napenda sana kulima niko serious na ninataka kuanza soon hata 50 eka plse help

kinjekitileh

Kiteto kuna mashamba mengi sana ktk mbuga zile, tatizo kule mvua zinazingua, mito ya maji hakuna. Kama unaweza nenda Kilindi,ila mvua ikinyesha barabara hazipitiki kabisa, pia angalia, kilindi sehemu kubwa ilishanunuliwa na fisadis,unaweza kuuziwa shamba la mtu.

Unataka kuanza kulima nini mkuu?
 
Kaka mpango wako ni mzuri cha msingi kuwa makini sana na kuifuatilia ndoto yako ufikie lengo na si vinginevyo bro saafi...
 
Hii thread nimeipenda na nimekuwa nikifuatilia tangu mwaka jana.
Tafadhalilini (Malila, Ngongo...would appreciate your input),
Ningependa kununua biz-plan ya kilimo cha sehemu ya eka 250 hadi 500.
- Assuming nina shamba tayari.
- Biz-plan must take into account irrigation, meaning I aim to harvest twice/3 times a year (drilled wells, approximity to water sources is the aim). So cost of laying out an irrigation network within the farm.
- The biz-plan can be tailored to an area and what can be grown there and what the market is looking for (rotational farming for food crops & fruits); preferably Morogoro (Tuliani, Kilombero), Tanga, Pwani and Mwanza. Any other areas are ok, but access to markets is very important.
- A combination or options for manual and machinery (tractor for farming) to be taken into account within the Biz-plan.
- Within the biz-plan, consider an option for cost of building a storage unit for atleast half of the farm products should the prices on the market be unfavourable at harvest time.

If one can offer this service, please PM me to discuss.
Shukrani.

Nzokanhyilu...............ulipata response kwenye hii? can I offer to share the cost? I too need this
 
Great Thought great Action,wasiwasi wangu ni hiyo bei tu ya gunia la mahindi mbona mimi najua bei ni kati ya 20,000 to 30,000? Hiyo ya 60,000 kaka unaitolea wapi tena?

Hapa Dodoma tayari beini 50,000.....................kwa mujibu wa taarifa za jana
 
Back
Top Bottom