Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Hongera kwa jitihada kaka, lakini hakikisha unatumia mbolea ili kuhakikisha mavuno hayo, pia spacing shambani ni jambo la msingi sana kwani mahindi unapaswa kuwa na mahindi 17000 kwa ekari. Bei ya mahindi msimu huu haijafika 50000 hapa tuliani hiyo pia isikufanye uchanganyikiwe. Tuwasiliane ukitaka ushauri wa kitaalamu zaidi
Dah ndg kama ndio unavyopiga hesabu kwenye kilimo namna hii,lazima ile kwako.......unless you have intensive management kuhakikisha katika kila hatua kila kila kitu kinafanyika ontime na kiwango muafaka.
Kwa uzoefu wangu mdogo niliopata,kama unataka kilimo kikutoe......uwe na maji ya uhakika,mbolea kwa kiwango inachotakiwa,madawa kwa wakati na kiasi kinachotakiwa,palizi kwa wakati vilevile.........kwani ukizemebea katika kimoja wapo basi tija hutoiona na inaweza kula kwako........in short tofauti na wengi tunavyofanya,weka watu,futailia ukiwa na shughuli zako nyingine kama kazi ya kuajiriwa.....kwakweli kilimo is a full time job if you real want to succeed......kwa mfani kilimo cha mboga moga ,huhitaji kila siku uwepo shambani na kukagua kila mmea,asubuhi unapoamka na jioni kabla hujamaliza siku.Kwani hii itakusaidia kujua kama kuna tatizo mapema na kulidhibiti.
Tatizo jingine ni watu wa kusimamia,chondechonde waswahili wanakwambia kazi/mali yako lazima uitolee macho hinhaa mda wote,hat kama mmeingia mkataba na msimamizi vizuri namna gani,kwa uzoefu nilioupata ni Watanzania wachache sana unaweza ukawaachia shughuli ya mtu kuisimamia wakafanya 100%.So being there most of the tym ni muhimu.
Kama unaweza wakati wa msimu hamkia shambani always?