Nimeamua kumpiga X-Ray mke wangu mtarajiwa na ukoo wake

Nimeamua kumpiga X-Ray mke wangu mtarajiwa na ukoo wake

Blaszczykowski

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2022
Posts
310
Reaction score
1,100
Habari zenu humu, kwanza tambua ukubwa jalala na kijiji bila wazee ni Jahanam.

Week hii ndugu zangu nimeenda kumpiga X-Ray my future wife pamoja na ukoo wake kwa nia tu nzuri, ili tu tujue account ya nani ipo juu. Baada ya X Ray kutoa majibu account yangu ipo juu kuliko ya my future wife kwa maana nitakuwa juu na atanisikiliza.

Kabla ya hapo alipiga X- Ray mke wa mwanzo aliekimbia na vitu na kuniacha na muhaho, acount yake ilikuwa juu mno, kiukweli alinizidi kwa kila kitu nikashindwa kummudu maana hakuwa saizi yangu.

Shida ilikuwa jinsi ya kuvunja account zetu mimi na my ex wife sababu ndoa hufanya nafsi iwe moja, ili ujitenge na upepo mbaya lazima account zetu zivunjwe na hawa viumbe kiukweli 90% mkitengana lazima akupige vikombola either kwa mganga au midomo yao ili tu uwendelee kuteseka.

Nitaendelea kuwajulisha 😊, bado nipo kwenye process za kuvunja account me and my ex wife, mambo ni mengi.

Nilichokishika na tunachokosea sisi vijana kwa maelezo ya yule mzee wa busara,💯 vijana tunaingia kwenye ndoa bila kuchunguzana (kupiga X ray koo zao) ndio maana wazee wa zamani walifaulu 80% maana walijua umuhimu wa kuchunguza familia na mke utakae kwenda kumuweka ndani.

Mbaya zaidi wanawake wanatuzidi ujanja kwenye suala la X ray, ila sisi wanaume uzungu na usomi unatuponza.

Msikatae ndoa jamani tafuta msichana aliyechini yako, usikimbilie mtu usiemuweza na aliekuzidi account utaishia kuja kupiga makelele humu; sijui mke jeuri, sijui hivi, mara kataa ndoa, sijui ndoa utapeli.
 
Weka majina ma 3 pisces wapo wengi Majina aliozaliwa nalo ,Jpili naatimba kumaliza mchakato nipo kwenye dosi maana hali ilikuwa mbaya sana..Nakumbuka tukio langu la mwisho nikaona hii si hali nzuri nilipigiwa pande na sister angu kwenye kazi flani kesho yake natakiwa nikaonane na uyo jamaa ili anipe ABC maana aliitajika mtu haraka sana bob nilifika mapema sana tukaongea na tukakubaliana vizuri kesho nipigiwe simu tukutane location tuanze kazi cha ajabu sikupigiwa simu sister anampigia simu uyo mshikaji kumuuliza what happen jamaa akamjibu mimi pia sijui why ajapigiwa simu sister aliumia sana maana nilipitia msoto mkali jero tu ya vochq ilikuwa shida
Muulize mganga wako Pisces na Capricorn wanaweza kuoana? 🤔
 
Habari zenu humu, kwanza tambua ukubwa jalala na kijiji bila wazee ni Jahanam.

Week hii ndugu zangu nimeenda kumpiga X-Ray my future wife pamoja na ukoo wake kwa nia tu nzuri, ili tu tujue account ya nani ipo juu. Baada ya X Ray kutoa majibu account yangu ipo juu kuliko ya my future wife kwa maana nitakuwa juu na atanisikiliza.

Kabla ya hapo alipiga X- Ray mke wa mwanzo aliekimbia na vitu na kuniacha na muhaho, acount yake ilikuwa juu mno, kiukweli alinizidi kwa kila kitu nikashindwa kummudu maana hakuwa saizi yangu.

Shida ilikuwa jinsi ya kuvunja account zetu mimi na my ex wife sababu ndoa hufanya nafsi iwe moja, ili ujitenge na upepo mbaya lazima account zetu zivunjwe na hawa viumbe kiukweli 90% mkitengana lazima akupige vikombola either kwa mganga au midomo yao ili tu uwendelee kuteseka.

Nitaendelea kuwajulisha 😊, bado nipo kwenye process za kuvunja account me and my ex wife, mambo ni mengi.

Nilichokishika na tunachokosea sisi vijana kwa maelezo ya yule mzee wa busara,💯 vijana tunaingia kwenye ndoa bila kuchunguzana (kupiga X ray koo zao) ndio maana wazee wa zamani walifaulu 80% maana walijua umuhimu wa kuchunguza familia na mke utakae kwenda kumuweka ndani.

Mbaya zaidi wanawake wanatuzidi ujanja kwenye suala la X ray, ila sisi wanaume uzungu na usomi unatuponza.

Msikatae ndoa jamani tafuta msichana aliyechini yako, usikimbilie mtu usiemuweza na aliekuzidi account utaishia kuja kupiga makelele humu; sijui mke jeuri, sijui hivi, mara kataa ndoa, sijui ndoa utapeli.
Tatizo la waganga hawakawii kukwambia unachotaka kusikia wewe ili umuone mtaalam sana.
Mwisho wa siku unaingia sehemu afadhali hata ya huyo ex.
 
Weka majina ma 3 pisces wapo wengi Majina aliozaliwa nalo ,Jpili naatimba kumaliza mchakato nipo kwenye dosi maana hali ilikuwa mbaya sana..Nakumbuka tukio langu la mwisho nikaona hii si hali nzuri nilipigiwa pande na sister angu kwenye kazi flani kesho yake natakiwa nikaonane na uyo jamaa ili anipe ABC maana aliitajika mtu haraka sana bob nilifika mapema sana tukaongea na tukakubaliana vizuri kesho nipigiwe simu tukutane location tuanze kazi cha ajabu sikupigiwa simu sister anampigia simu uyo mshikaji kumuuliza what happen jamaa akamjibu mimi pia sijui why ajapigiwa simu sister aliumia sana maana nilipitia msoto mkali jero tu ya vochq ilikuwa shida
ebana twende PM mkuu tuanze mchakato 🤔🤔🤔

Tusimwage sindiketi hapa... wanga wengi
 
hamna cha nyota wala nin .mwanamke yoyote anaeishi dunian ili mwendane sawa anataka umsikilize yeye .kama hauko tayar kwa ilo na ndoa lazima itakushinda tu
 
Back
Top Bottom