Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Sasa umeleta Uzi wa nini
 
Kisa chako kinanikumbusha namna nilivyompa taabu dada mmoja hivi.Ilikuwa hivi;

Nilikutana naye na tukajenga mazoea kiduchu kisha nikamtoa out tukapiga pombe na nyama na kuhama ukumbi siku nzima alivyolewa na ile kushikana shikana nikagundua yuko period.

Nikamchukua na bolt mpka kwake na kumlaza na kufunga mlango kisha ufunguo nikamtupia ndani na mimi nikageuka na bolt mpka kwangu.

Asubuhi akanicall na asante za hapa na pale na mimi nikamwambia kuwa umeniacha na nyege ukikaa vzuri naomba Papa hiyo niichakate.

Akaanza zile oooh ntakupa siku 1, sijui subiri usiwe na haraka, na ukizingatia ni mdada wa nguvu jeupe zuri na mikalio ya kufa mtu na zile kutongozwa kila apitapo sijui zilimpa kiburi akajiona prngine kila mwanaume atabaki anamlilia kila siku.

Nilivyoona mzigo hataki kutoa anarukaruka mimi nikapiga kimya,Futa namba na maisha yanaendeleaa,Yule dada ilikuumiza sana kwamba y mwamba nimempotezea ghafla na sina time naye,Siku 1 akanitumia sms ndeefu kuwa sijui najiona keki sijui kwanini nimpotezeee wakati ingetakiwa nisubiri siku yyte angenipa TUNDa.

Sikujibu ila baada ya siku 2 nikampigia kutumia namba ile aliyonitext na kumwambia jioni tuonane sehemu x,Akaja pombe na nyama akalewa kushikana shikana nikaona hayuko period, Nikampeleka lodge nikamchakata, asubuhi game ikarudiwa.

BAADA YA HAPO NILIMBLOCK MAZIMA NA SIKUTAKA MAWASILIANO KABISAAAAAA.

ANANIONA MHUNI KWAMBA WANAUME WENGINE WANAMLILIA NA KUMHONGA PESA NDEFU HALAFU MIMI SINA TIME NAYE.



WANAWAKE JIFUNZENI KUWA KUNA WANAUME HAPA DUNIANI BADO WANA MISIMAMO YA KIUME JAPO WACHACHE KAMA HUYO MWAMBA HAPO JUU
 
huyu jamaa anakupenda sema sasa kuna kitu anashindwa kwako kulingana na wewe ulivo, anakuona tofauti he saw you has Mrs right, siyo confident man.
 
Na atamkula hakika
 
Jamaa yupo sahihi. Unajitia mjuaji kutaka kuumiza hisia za mtu ambae ana machaguo zaidi yako mwisho wa siku umeishia kujiumiza
 
Y nyie wanawake mnaona kugegedana ni kana kwamba umeliwa? Ahh muacha e na hiyo dhana potofu
Ahahahah
Umeona mkuu. Wanawake wana mindset flan selfish sana.
Yaani mkitiana wao ndio wanaona kama wametumika wakati nyote mmetumiana.
No wonder wanataka walipwe pia wakat ilibid kama vip mlipane!

Yaani wao wanaona kama ndio wanatoa huduma wakat na wewe unashiriki kuhudumu😂😂😂 hawa viumbe shida!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…