Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

. Kwa miaka ya sasa hivi ukimpata mwanamke mzuri mwenye bikra mshukuru sana mwenyezi Mungu yaani huyo mtie mimba immediately kabla hajaharibiwa na wahuni.

Alafu siku nyingine ni bora uichunguze kama ipo kweli.

Maana mabwawa hayafai kwa kweli 🤢🤢🤮
 
Wajua hiyo ni Bipolar? Shauri yako
 
Ni Nakumbuka sana Jf ya zamani. Kulikuwa na nyuzi nzuri sana za kuelimisha. Naomba Mello atukusanye wakongwe tuwe na Jf yetu. Ile Jf ilikuwa kisima cha maarifa unapata changamoto unakuja huku na unapewa ushauri aisee I really miss it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…