Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Wale wa ntatoa bikra yangu ukinioaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeoaaa unakutanaaa na MTO Ruaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Kwa kuanzia wewe ni bikra? Na huwezi kutudanganya kuwa wewe ni mwanaume bikra kwa sababu hawapo. Labda azaliwe na kufa hapohapo.
 
Nashukuru mungu mi nimeikuta hapa nafanya mpango wa kuongeza mahari maana sio kawaida
 
Wanaume wenzangu nina wazo, tuandae chama na kampeni kubwa hapa TANZANIA, ya kulazimisha kila mwanaume aoe bikra, ikiwezekana itungwe sheria kuwa nikikukuta siyo bikra, mnanirudishia mahari zangu na kunilipa gharama za sherehe ya harusi.

Someni kumbukumbu la torati 22:13-20 muone, ukikuta hana bikra ilielezwa unaleta ushahidi wa mashuka kumshtaki mwanamke.

Hapo ambao hawana bikra kwa sasa Tanzania tuweke sheria wasiolewe, halafu tuone maringo yao kama yataendelea kuwepo.
 
Sema uhuru hii nchi mkubwa mno

Btw, wew ulicheat, ukalamba madem/wake za watu wa baadae, ila hutaki wako aliwe? Malipo hapa hapa duniani, ukipata bikira bodaboda watapita nae

Mahakamani ni vielelezo tuu.
Hayo maelezo mengine uliyotoa hayatakuwa na Maana.

Kama alidanganywa anahaki ya kwenda Huko anapoona atapata Haki yake.

Lakini kimsingi, Bikra ni muhimu lakini sio lazima kwenye Ndoa au mahusiano.
 
Mahakamani ni vielelezo tuu.
Hayo maelezo mengine uliyotoa hayatakuwa na Maana.

Kama alidanganywa anahaki ya kwenda Huko anapoona atapata Haki yake.

Lakini kimsingi, Bikra ni muhimu lakini sio lazima kwenye Ndoa au mahusiano.
Kwan yeye aliahidiwa kwa maandishi? Utaona hapo itakuwa ni words Vs Words,
Kitu ambacho ni kusumbua tu mahakama ukizingatia waliahidiana/ kupeana hizo taarifa za bikira sirini wao wawili tu, hakuna third party wa kuconfirm
 
Kwan yeye aliahidiwa kwa maandishi? Utaona hapo itakuwa ni words Vs Words,
Kitu ambacho ni kusumbua tu mahakama ukizingatia waliahidiana/ kupeana hizo taarifa za bikira sirini wao wawili tu, hakuna third party wa kuconfirm

Mahakamani hata makubaliano ya mkiwa Wawili hutolewa ushahidi Kwa namna mtavyojieleza.
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Vip na wewe ni bikra lakin
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Hilo ni chaguo lako chaguo lako🎶🎶
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Mrejesho umefika wapi
 
Back
Top Bottom