Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Kimenuka! Kimeumana!!! Hapo kwa fidia atajuta kukudanganya! Hili liwe fundisho kwa wengine!

Hata hivyo, nakushauri umsamehe, muishi pamoja mjenge familia bora!

Pole sana na hongera kwa kupata mke! Apataye mke, apata kitu bora!
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!


Kama kuna mkataba wa Bikra na mashahidi nenda tu kafungue, kwa akili hizi sio bandari tu, wacha na wananchi wauzwe.
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Kaka nionyeshe niandamane pia kuisaka hiyo bikra maana wahanga wengi tupo🤣🤣
 
Anaweza kujitetea kuwa alikuwa anakutania we ndio ukachukulia serious...
 
Kazi ya mahakama ni kuthibisha, ikithibitika ni kweli alitumia ulaghai kupata ndoa nahitaji itabidi alipwe. Tukiwa na watu kumi Kama nyie lazima tutapata katiba mpya. Watanganyika wengi wamezoea kulalamika bila kuchukua hatua.
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Kimsingi mkeo hajavunja katiba, Muongozo Wala ILANI. Hivyo Mheshimiwa Jaji ataitupilia mbali kesi yako mapema asubuhi
 
Wanawake wangekua na alama,kua ukimuangalia tu,unajua kua huyu ana bikra,wale ambao hawana,ni wachache sana ambao wageolewa.Bikra inamtuaminisha mwanamke sana,watu wanaoa tu,kwasababu hawana jinsi,unakuta kakosa mwenye sifa anszozitaka.All in all,ishi nae tu,ukimfingulia mashtaka,watakuja kusema umemdhalilisha.Alitakiwa akwambie ukweli,kua hana bikra.Yawezekana uliharakisha mchakato wa kumuoa,kwasababu alikupa midadi,kua anayo,nawewe ukaamini,ukasema utafanya naye mapenzi kwenye honeymooney,kuja kutahsmaki,hana.Pole.
 
Ni
Nakumbuka sana Jf ya zamani. Kulikuwa na nyuzi nzuri sana za kuelimisha. Naomba Mello atukusanye wakongwe tuwe na Jf yetu. Ile Jf ilikuwa kisima cha maarifa unapata changamoto unakuja huku na unapewa ushauri aisee I really miss it.
miaka yote hujajifunza unataka ujifunze miaka hii?wee nikichwa maji mzee.hizi zamazetu Toka humu jing.a wewe
 
Kazi ya mahakama ni kuthibisha, ikithibitika ni kweli alitumia ulaghai kupata ndoa nahitaji itabidi alipwe. Tukiwa na watu kumi Kama nyie lazima tutapata katiba mpya. Watanganyika wengi wamezoea kulalamika bila kuchukua hatua.
Kwaiyo chief tuliolaghaiwa unashauri tuandamane katiba hapa haiusiani na mapenzi ktk ndoa🤣
 
Kwaiyo chief tuliolaghaiwa unashauri tuandamane katiba hapa haiusiani na mapenzi ktk ndoa🤣
Hapana kudai katiba kunahitaji ujasili wa kutambua na kudai haki yako. Huu ujasili ni wa kutoka moyoni ndio maana namsifu kwa uthubutu wa kudai haki yake.
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Jamani ee!! taratibu kwanza.

Utuambie umejuaje kama si bikra?

Yaani ulijifunzaje tofauti ya mwenye bikra na asiye?

ROZAMISTIKA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Na bikra ulizowah kuzitoa nani azioe?

Anyway umenikumbusha kisa kimoja iv. Jamaa yangu mmoja wakat anataka kuoa akamwambia shangazi yake amtafutie mwanamwari aliyetulia na mwenye hofu ya Jah. Bas shagazi akafanya kazi yake kwa ukamilifu kabisaa binti akapatikana na taratibu za kufahamiana kati ya binti na jamaa zikafanyika. wakati huo jamaa alikuwa akiishi mkoa tofaut na shangazi na binti alikopatikana hivyo ikamlazim jamaa kusafir kwenda huko kumuona huyo kigol.. La haula yule bint alikuwa kigol haswaa na pamoja na kuwa kigol bado alionekana ni mpenda ibada kuliko ilivyo kawaida. Wakat taratib zingine zikiendeleq za kujitambulisha na mambo ya mahar yafuate jamaa akawa anaibia kwa kumuomba bint japo amuonjeshe penzi kidogo tuu bint akawa hataki na kuwa yeye ni bikra na hatothubut kufanya mapenzi kabla ya ndoa.

Siku zikapita, mahari ikalipwa na jamaa akapewa bint aondoke naye.. Ilimbidi jamaa siku hiyo hyo afunge safar na kigol wake mpaka mkoa anakoishi huyu jamaa. Bas ukafika wakat wa jamaa kula tunda na huku akiwa na shauku ya kukata utepe kwa mara ya kwanza... ndipo Shida ilipoanza mara bint anabana sana mapaja, jamaa akigusiha tuu bint anaruka huko akidai kuwa anaumia. Hali iliendelea hvyo na huk bint akilia machozi ya uchungu.. Malaya ni malaya tuu kuna wakat bint alikuwa akijisahau na jamaa anakuta ngoma inadumbukia tuu "dubwiii" Bint akistukia tuu anabana tena mapaja. Jamaa ikabid amwambie bint kuwa ujinga anaofanya hautak na yeye hajamuoa kwa kutaka bikra hivyo atulie.

Kesho kulipokucha kikawa kimbembe.. shangazi wa jamaa anauliza vip huko? Maana wakwe wanataka pesa tsh 600,000/= ya kumtunza bint yao. Jamaa akuliza kiaje? Shangazi akamwambia si huyo binti ni bikra! Maana utamadun wao kuwa bint akiolewa bikra bas kias hicho cha pesa kinatakiwa kulipwa. Hapo ukaibuka mvutano jamaa anasema bint sijamkuta bikra, huk bint anakazana kusema kanikuta bikra na yeye ndio kaitoa bikra yangu... Songombingo iliendelea na bint aliendelea na msimamo wake kuwa ni bikra wakat jamaa hakukuta bikra yoyote.

Mengi yaliendelea ila mwisho ni kuwa jamaa aliamua kumuacha yule bint week moja tuu baad ya kumuoa
 
Una ushahidi wa kimakibaliano kuwa uwepo wa bikra ndio lilikiwa mojawapo ya takwa la kufunga ndoa yenu?

Kama mlikubaliana hivyo na ushahidi upo unaweza kijaribu hii Kesi. Itakuwa ni ya aina yake Lakini huenda ikaweka history nzuri kwa masuala ya Ndoa.
 
Back
Top Bottom