Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

. Kwa miaka ya sasa hivi ukimpata mwanamke mzuri mwenye bikra mshukuru sana mwenyezi Mungu yaani huyo mtie mimba immediately kabla hajaharibiwa na wahuni.

Alafu siku nyingine ni bora uichunguze kama ipo kweli.

Maana mabwawa hayafai kwa kweli 🤢🤢🤮
 
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Wajua hiyo ni Bipolar? Shauri yako
 
Ni
Habari za zenu wana MMU,

Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!

Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.

Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Nakumbuka sana Jf ya zamani. Kulikuwa na nyuzi nzuri sana za kuelimisha. Naomba Mello atukusanye wakongwe tuwe na Jf yetu. Ile Jf ilikuwa kisima cha maarifa unapata changamoto unakuja huku na unapewa ushauri aisee I really miss it.
 
Back
Top Bottom