Ukisikia umbeya ndio huo, sasa ulimpigia ili iweje.............LOLHeshima yako baba,
Dah hiyo heading imenistua nikampigia mama kabla sijasoma akawa hapokei na uzi ukawa umeshafunguka lol!
Sijui ingekuwaje kwa nilichokuwa nimepanga kumuuliza,
Poa tunamtakia mama safari njema,na mungu ampeleke salama na amrudishe salama.
Umbea muhimu kwa mtoto wa kike kusutwa suna,Ukisikia umbeya ndio huo, sasa ulimpigia ili iweje.............LOL
wakati mwingine usijaji nazi kwa kuigonga... ko ko ko ko..........ipasue ndio utajua kama ni mbata au koroma.
Kwani kumuacha mke asafiri kuna tatizo gani? mnatafsiri kiswahili vibayaKhaaa..............yaani we Babu umesababisha mshale wa kumoyo ugande ghafla ndo nini kuanza na heading ya ukanjanja. Nilishaanza kulia nani atanipikia uji. Namtakia Mama Ngano safari njema.
Umbea muhimu kwa mtoto wa kike kusutwa suna,
:focus:
Tatizo umekuwa mtata sana siku hizo baba yetu,
Sijui ni huyo glady anasababisha haya,
Najua kwa safari hii ya mama,huna ujanja lzm utaongea nasi kwa hisan ya watu wa.........!!!
Labda usituage unaunganisha na shifti ya usiku!!!
Ol
Na ni hicho kichwa cha habari ndicho kilichokufanya usome..................ha ha ha haaaaaaa. Lakini kwani kuna tatizo gani mtu kumuacha mkewe asafiri? au nyie mlielewaje?ha ha ha....mkuu mtambuzi nilishtushwa sana na kichwa cha habari hii...baada ya kusoma kwa umakini sana mstari kwa mstari na nilipofikia mwisho mshtuko ulitokomea kwa kicheko hasa nilyasoma majina ya wanao..kwanza pole kwa ajili na pili namtakia mama ngina safari njema. next time mkuu punguza ukali wa vichwa vya habari...
Utani mbaya huo, unajua mama Ngina anasoma JF! usinianzishie balaa nikanyimwa...............................Ugali
Kichwa cha habari kama gazeti la udaku vile. . . Lolz
Nwy mtakie safari njema, awarudie na zawadi toka kijijini.
hahhaaaaaaa mama ngina hawezi kuleta balaa wakati wewe ni mgonjwa, unahitaji uangalizi.......
Unajua kwa sababu gani?kaka kichwa cha habari kingine na maneno ya ndani mengine ngoja nikanywe kahawa narudi kumsindikizi kabisa,MxUmeshindwa hata kusema safari njema kwa mama Ngina..............!