Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 379
- 1,082
Wakuu nitakua nakosea?
Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa miaka mingi sana, katika mihangaiko yote ya maisha ya shule, chuo na kitaa Niko nae mpaka Leo.
Kwanini nataka kumuacha?.
Mwaka jana baada ya kumaliza chuo huku yeye akiwa kitaa tu nilimpa mimba sikupinga nikamwambia as long as Mimi ni mwanaume nitapambana (nilipata sehemu ya kujishikiza), na pia ni mwanamke wa ndoto zangu so asitoe mimba nitalea na nitamuoa but mama ake akaitoa(kuna mambo mengi yalitokea hapa), ilo jambo lilinipa wakati mgumu sana but nikasamehe baada ya yeye kujiliza sana.
Mda umepita kidogo naona amebadilika kiasi, ninachomwambia afanye anisikii tena nikimwambia yaishe afanye maisha yake anajilizaa sana,imekua kama mchezo nikimwambia tuachane anajiliza but makosa anafanya mengi ya hovyo yanayojirudia.
Anapenda kupost wanaume akidai ni marafiki zake (marafiki ya konyo.....nilishamkataza habari za hao anaowaita marafiki maana "hakuna rafiki wa kiume kwa mwanamke asiyewaza kumla kimasihara" atajifanya rafiki mwisho wake ataliwa tu but amekua mzito kusikia.
Nimeweka standard zangu nikimwambia ajiweke karibu na Mungu anielewi anapenda sana mambo ya mitandao haswa kupost upuuzi usiokua na maana (sababu ya umri wake labda).
Nimerudi mjini sababu ya ubusy wangu wa kutafuta maisha nikamwambia tuonane (sio kufanya mapenzi) maana hapo kabla alikua analalamika sina mda nae tukakubaliana mda wa kumuona nimetoka zangu mbezi mpaka gongo la mboto namsubiria weeee anadai amepata dharula yuko Mwenge.
Nb..
Nimeona kama nafuga ujinga tu then kukaa na mpenzi miaka mingi isiwe guarantee ya kusema lazima muoane akibadilika ni vyema kujiondoa tu kuepusha vingi.
Huu mda nawekeza zaidi kutafuta maisha pia ushauri never trust a women akibadilika achana nae regardless mmekaa miaka buku.
Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa miaka mingi sana, katika mihangaiko yote ya maisha ya shule, chuo na kitaa Niko nae mpaka Leo.
Kwanini nataka kumuacha?.
Mwaka jana baada ya kumaliza chuo huku yeye akiwa kitaa tu nilimpa mimba sikupinga nikamwambia as long as Mimi ni mwanaume nitapambana (nilipata sehemu ya kujishikiza), na pia ni mwanamke wa ndoto zangu so asitoe mimba nitalea na nitamuoa but mama ake akaitoa(kuna mambo mengi yalitokea hapa), ilo jambo lilinipa wakati mgumu sana but nikasamehe baada ya yeye kujiliza sana.
Mda umepita kidogo naona amebadilika kiasi, ninachomwambia afanye anisikii tena nikimwambia yaishe afanye maisha yake anajilizaa sana,imekua kama mchezo nikimwambia tuachane anajiliza but makosa anafanya mengi ya hovyo yanayojirudia.
Anapenda kupost wanaume akidai ni marafiki zake (marafiki ya konyo.....nilishamkataza habari za hao anaowaita marafiki maana "hakuna rafiki wa kiume kwa mwanamke asiyewaza kumla kimasihara" atajifanya rafiki mwisho wake ataliwa tu but amekua mzito kusikia.
Nimeweka standard zangu nikimwambia ajiweke karibu na Mungu anielewi anapenda sana mambo ya mitandao haswa kupost upuuzi usiokua na maana (sababu ya umri wake labda).
Nimerudi mjini sababu ya ubusy wangu wa kutafuta maisha nikamwambia tuonane (sio kufanya mapenzi) maana hapo kabla alikua analalamika sina mda nae tukakubaliana mda wa kumuona nimetoka zangu mbezi mpaka gongo la mboto namsubiria weeee anadai amepata dharula yuko Mwenge.
Nb..
Nimeona kama nafuga ujinga tu then kukaa na mpenzi miaka mingi isiwe guarantee ya kusema lazima muoane akibadilika ni vyema kujiondoa tu kuepusha vingi.
Huu mda nawekeza zaidi kutafuta maisha pia ushauri never trust a women akibadilika achana nae regardless mmekaa miaka buku.