Nimeamua kumuacha mwanamke niliyedumu naye kwa Miaka 7

Nimeamua kumuacha mwanamke niliyedumu naye kwa Miaka 7

Ujatwambia mpenz wako ana umri gani, wewe pia una umri gani.

Nadhan tungeanzia Apo Kwanza mkuu[emoji4]
 
Sijamjua Jana Mkuu, ni miaka saba sasa ni mtu mzima sasa age ya 23 kama bado hajajua kipi ni kizuri kipi ni kibaya basi ni ujinga anafanya.
Nimtumzima kwa umri wa 23 nikwa wazungu kwa kwetu Africa bado mtoto anategemea wazaz
 
Swali la ovyo ila Ni muhimu.
Uyo mtu wako Kwanza kitandani performance yake ikoje?

Mtamu, wa kawaida au, mtamu sana?

Ukinijibu ntakwambia kwann nmekuuliza[emoji4]
 
Mke ni tabia; ila kama ni kwa ajili ya starehe tu angalia shepu, chura, na sura
 
Hiyo yakuwa.karibu na wanaume akidai ni marafiki tu ogopa sana tena kimbia kabisa. Huyo tayari ashakuwa na mambo mengi.
 
Nyie ndio wale huko na mapenzi ya kuongea na simu hadi inachemka kama pasi. Kifupi ni kwamba nyote bado hajafika uelewa wa kua wapenzi tena wenye mlengo wa kuoana
Utakua ni kweli unachoongea Mkuu, lakini Niko busy sana mda wa kuongea hivyo unavyosema haupo kabisa kwa upande wangu, Mimi nilishajipambanua kwake kwamba atakua mwanamke wa ndoto zangu nimeshacheza kete zangu but naona yeye kashindwa kucheza kete zake na tumekaa miaka mingi mpaka kwao najulikana.
 
Umeishi nae miaka 7, ulikua na mpango wa kumuoa.
Kwann ukufanya juhudi zozote za kuanza kuish karibu nae uone Kama atabadilika izo tabia zake au lah[emoji848]
Mkuu nimemaliza chuo mwana juzi probably bado najitafuta na maisha bado sijasettle vizuri nitamuwekaje karibu yangu Mkuu?
 
Utakua ni kweli unachoongea Mkuu, lakini Niko busy sana mda wa kuongea hivyo unavyosema haupo kabisa kwa upande wangu, Mimi nilishajipambanua kwake kwamba atakua mwanamke wa ndoto zangu nimeshacheza kete zangu but naona yeye kashindwa kucheza kete zake na tumekaa miaka mingi mpaka kwao najulikana.

Jijenge ndoto haziwezi kua vile unataka
 
Wakuu nitakua nakosea?.

Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa miaka mingi sana, katika mihangaiko yote ya maisha ya shule, chuo na kitaa Niko nae mpaka Leo.

Kwanini nataka kumuacha?.

Mwaka jana baada ya kumaliza chuo huku yeye akiwa kitaa tu nilimpa mimba sikupinga nikamwambia as long as Mimi ni mwanaume nitapambana (nilipata sehemu ya kujishikiza), na pia ni mwanamke wa ndoto zangu so asitoe mimba nitalea na nitamuoa but mama ake akaitoa(kuna mambo mengi yalitokea hapa), ilo jambo lilinipa wakati mgumu sana but nikasamehe baada ya yeye kujiliza sana.

Mda umepita kidogo naona amebadilika kiasi, ninachomwambia afanye anisikii tena nikimwambia yaishe afanye maisha yake anajilizaa sana,imekua kama mchezo nikimwambia tuachane anajiliza but makosa anafanya mengi ya hovyo yanayojirudia. Anapenda kupost wanaume akidai ni marafiki zake (marafiki ya konyo[emoji16][emoji16]).....nilishamkataza habari za hao anaowaita marafiki maana "hakuna rafiki wa kiume kwa mwanamke asiyewaza kumla kimasihara" atajifanya rafiki mwisho wake ataliwa tu but amekua mzito kusikia.

Nimeweka standard zangu nikimwambia ajiweke karibu na Mungu anielewi anapenda sana mambo ya mitandao haswa kupost upuuzi usiokua na maana (sababu ya umri wake labda).
Nimerudi mjini sababu ya ubusy wangu wa kutafuta maisha nikamwambia tuonane (sio kufanya mapenzi) maana hapo kabla alikua analalamika sina mda nae tukakubaliana mda wa kumuona nimetoka zangu mbezi mpaka gongo la mboto namsubiria weeee anadai amepata dharula yuko Mwenge.

Nb..
Nimeona kama nafuga ujinga tu then kukaa na mpenzi miaka mingi isiwe guarantee ya kusema lazima muoane akibadilika ni vyema kujiondoa tu kuepusha vingi.

Huu mda nawekeza zaidi kutafuta maisha pia ushauri never trust a women akibadilika achana nae regardless mmekaa miaka buku.
Bado ajakua akili.....subil akue

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hata hivyo umemtafuna mnoo,ni halali kumchoka maana ni hadi mmekuwa wazazi wa marehemu huenda saivi mngekuwa na wajukuu.Mwache moyo wako usuuzike.
 
Miaka 7 urafiki mbaachana unakuja kulia humu? Mambo ya chuo bado yamo kichuanie? Watu tumeachana baada ya kuwa na watoto 3 miaka 18 tumeishi na tunatulia tu tukikumbuka kuwa Samsoni nae alipotezwa tu na Delila kirahisi wakati alikuwa Mnadhiri wa Mungu.
 
Alikua anawapost hao wanaume anaandikaje? Kwel wajinga ndio waliwao
 
Back
Top Bottom