Nimeamua kumuacha mwanamke niliyedumu naye kwa Miaka 7

Nimeamua kumuacha mwanamke niliyedumu naye kwa Miaka 7

Alikua anawapost hao wanaume anaandikaje? Kwel wajinga ndio waliwao
Wanaume wanacheza cheza huku nyuma kuna background ya mziki..ile watoto/vijana wanajirecord, anadai ni shemeji yake (namjua)
 
Nimeona kama nafuga ujinga tu then kukaa na mpenzi miaka mingi isiwe guarantee ya kusema lazima muoane akibadilika ni vyema kujiondoa tu kuepusha vingi.
Point ya msingi sana mkuu, move on.
 
Kwa sasa hivi mkuu, zingatia mapambano yako ya kutafuta mkate. Katika umri ulionao hiyo ndiyo hoja ya msingi zaidi nayoweza kukwambia.

Na unatakiwa utambue maisha hayawezi kuwa vile unavyotaka kwa 100%. Kwa hiyo hata usipomuoa huyo atleast utakuwa busy kujijenga kimaisha. Na kuachana naye inaweza kuwa ni kitu bora zaidi kilichoweza kutokea katika maisha yako ya ujana.

Huyo mwanamke ameshajua unampenda na ameshajua akicheza vipi na akili yako unamsamehe, mwache aende akajifunze maisha kwingine. Kama angekuwa anakupenda angeweka muda kwa ajili yako na angekuheshimu.

Kila la heri brother.
 
Inaonekana pia Mama yake hajayabariki mahusiano yenu kwa sababu kutoa mimba ni kosa kubwa sana, na kama mzazi angeweza kumpa moyo binti yake ailee mimba na siyo kuitoa.
 
Mkuu .. kwa mfano ukiendelea nae unakuwa umezungurukwa na wauaji kama wameweza kuua kichanga tena mbaya zaidi kilichopo tumboni.. nakuhaidi utakuja kutu hadithia hapa wamekuua yeye na mama yake.. alafu uje kulalamika hapa wakisha kufanyia mbaya
 
IMO mkuu binti wa miaka 23 ana akili ndogo, bado anahisi ana chances za kutosha. Temana nae.
23 - 7 = 16
Duh!
Una umri gani mkuu?
Umekoswa koswa na mvua 30 ww!
Kumbe ndo sabb mama'ake aliingilia kati ku abort.
Kumbe utoto tuu!
 
23 - 7 = 16
Duh!
Una umri gani mkuu?
Umekoswa koswa na mvua 30 ww!
Kumbe ndo sabb mama'ake aliingilia kati ku abort.
Kumbe utoto tuu!
Elewa vizuri, Ali abort mwaka Jana akiwa na age ya 22 pia nimejuana nae since tunasoma secondary sio alikua mpenzi wangu miaka hiyo.
 
Wakuu nitakua nakosea?

Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa miaka mingi sana, katika mihangaiko yote ya maisha ya shule, chuo na kitaa Niko nae mpaka Leo.
Unawekeza kutafuta maisha??? Kwani yameenda wapi !? Hayo ulionayo Sasa ni maisha pia , katika historia yako ya maisha utakayoishi , na ya Sasa ni sehemu pia ya maisha yako kaka ! Nakutakia maamuzi mema ! [emoji2][emoji16]
 
Kuna ka Ukweli
255685300400_status_abdd220e1dd947d094d126710b72a717.jpg
 
Elewa vizuri, Ali abort mwaka Jana akiwa na age ya 22 pia nimejuana nae since tunasoma secondary sio alikua mpenzi wangu miaka hiyo.
Tatizo mkuu mbishi, umekuja kupokea ushauri au kubishana?
 
Back
Top Bottom