Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ya msingi sana mkuu, move on.Nimeona kama nafuga ujinga tu then kukaa na mpenzi miaka mingi isiwe guarantee ya kusema lazima muoane akibadilika ni vyema kujiondoa tu kuepusha vingi.
Uko sahii, nmekuelewaMkuu nimemaliza chuo mwana juzi probably bado najitafuta na maisha bado sijasettle vizuri nitamuwekaje karibu yangu Mkuu?
23 - 7 = 16IMO mkuu binti wa miaka 23 ana akili ndogo, bado anahisi ana chances za kutosha. Temana nae.
Elewa vizuri, Ali abort mwaka Jana akiwa na age ya 22 pia nimejuana nae since tunasoma secondary sio alikua mpenzi wangu miaka hiyo.23 - 7 = 16
Duh!
Una umri gani mkuu?
Umekoswa koswa na mvua 30 ww!
Kumbe ndo sabb mama'ake aliingilia kati ku abort.
Kumbe utoto tuu!
Unawekeza kutafuta maisha??? Kwani yameenda wapi !? Hayo ulionayo Sasa ni maisha pia , katika historia yako ya maisha utakayoishi , na ya Sasa ni sehemu pia ya maisha yako kaka ! Nakutakia maamuzi mema ! [emoji2][emoji16]Wakuu nitakua nakosea?
Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa miaka mingi sana, katika mihangaiko yote ya maisha ya shule, chuo na kitaa Niko nae mpaka Leo.
Tatizo mkuu mbishi, umekuja kupokea ushauri au kubishana?Elewa vizuri, Ali abort mwaka Jana akiwa na age ya 22 pia nimejuana nae since tunasoma secondary sio alikua mpenzi wangu miaka hiyo.