Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.

Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.

Conclusion:

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.

USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari

D2CBC4A4-E0B2-417A-8DE3-D5C0E24DC118.jpeg
2ECA1E85-5FF0-40A4-A3BF-2591EA5F573C.jpeg
9A9E599E-5DA8-45F5-BD6B-3D5A51BCFACA.jpeg
 
Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yangu.
 
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.

Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.

Conclusion:

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.

USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari

View attachment 3215889View attachment 3215890View attachment 3215891
Hayakuwa mauaji ya kitoto,hawapendi kuyasikia!
 
ChatGPT imejibu kama ifuatavyo;
The Tiananmen Square Massacre, also known as the June Fourth Incident, occurred on June 3-4, 1989, in Beijing, China. It was a violent crackdown by the Chinese government on pro-democracy protests, primarily led by students, intellectuals, and workers who had gathered in Tiananmen Square to demand political reforms, freedom of speech, and an end to government corruption.


The protests had been peaceful for weeks, but the government declared martial law and sent the military to clear the square. Troops and tanks opened fire on unarmed protesters, resulting in hundreds, possibly thousands, of deaths and many injuries. The exact number of casualties remains unknown, as the Chinese government has heavily censored information about the event.


The massacre is a significant and controversial moment in modern Chinese history, symbolizing the government's suppression of dissent and its intolerance of political freedoms. Images of a lone protester, famously known as "Tank Man," standing in front of a column of tanks became an enduring symbol of resistance.
 
Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yangu.
Mfano taarifa gani mkuu?
 
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.

Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.

Conclusion:

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.

USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari

View attachment 3215889View attachment 3215890View attachment 3215891
Umempiga utosini AI wa kichina wanasema hata ukiuliza kumuhusu Xi jimping longo longo kibao
 
Back
Top Bottom