Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.
AI nyingi hazipendi kuongelea mambo ya siasa hata Gemini
AI ambayo haina censorship katika kujibu ni Grok, ya Elon M.

Ai zingine zote huwa hazitoi baadhi majibu kwa kina, au kutokutoa kkabisa kwa maswali utakayouliza.

1738081405713.png

Code:
https://x.com/i/grok
 
Mimi nimechart nae anajua kiswahili kuliko hata waswahili wenyewe... Nilichopenda kwake kuna mwaswali ambayo Google wananifichaga yeye kaamua kufunguka yote
 
Hatuko hapa kunijadili mm. Ok

Watakuja uza zako. Ww mtu muhimu sana.[emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji6][emoji6][emoji2960]
Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.
Point ni taarifa zako au yoyote kutoka huku haziwafaidishi chochote significant. Kwenye movie wangesema "You're not the targeted audience."

Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
 
ChatGPT siku hizi mnalipia? Mwanzoni nilikuwa naenyoy nalo bure likaja kujifunga.
Hili la wachina linanijibu kiswahili fasaha utafikiri linanijua
kwene browser za computer bure ila kwene cimu unalipia
 
Yapi hayo?.
Google na ChatGPT ilikuwa nikiuliza kazi za madini ya Ruby na tanzanite yananijibu kwamba kazi yake ni mapambo.
Sasa hili la mchina likafunguka ndipo nikajua kwanini thamani ya Ruby ni kubwa kiasi cha kumshangaza binadamu yeyote
 
Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.
Point ni taarifa zako au yoyote kutoka huku haziwafaidishi chochote significant. Kwenye movie wangesema "You're not the targeted audience."

Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
Hamna taarifa isyo na umuhimu sema umuhimu mdogo!!…
Kujua users opinion ina influence namna gan ya kuengage nao
 
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.

Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.

Conclusion:

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.

USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari

View attachment 3215889

Ile square pale Beijing inaitwa Tiananmen Square (inasomeka kama "tian an men")

Jaribu tena kuandika kama hivyo then uone kama itatoa same reaction...
 
Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.
Point ni taarifa zako au yoyote kutoka huku haziwafaidishi chochote significant. Kwenye movie wangesema "You're not the targeted audience."

Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
Si ndwele Mkulu?

Ila, napenda kutofautina na ww kwamba "haziwafaidishi" chochote.
hio sio kweli..
Kwamba hatuna umuhimu wowote ule?

Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
Narudia tena, hatuko hapa kunijadili mm. Najua ninachokiongea.


Nakuona unapotokea na unapotaka tuende. Siendi huko. Yaani naona ww unaleta propaganda sasa.

Data zinakusanywa. Period. Iwe mm ww yule zinakusanyawa, Awe Mwafrika mzungu muhindi muarabu hata masakwe wanaopewa simu, data zao zinakusanywa na kuuzwa. In short, so long as you have smart phone, hilo haliepukiki. Git it?
 
Hata chatgpt iko biased gemini iko biased. Kila mojawapo ina guidelines na omekuwa trained kusema haya na kutosema haya.
Mwaka juzi nilipata kushiriki project ya kuitrain google bardi kwa kiswahili ambayo sasa ndiyo gemini na lengo lilikuwa kuipma na kuicheat kuona kama itafail kufuata guidelines.
Zote zina paramaters fulani
ChatGPT iko biased kwenye jambo gani?
Weka mfano mmojawapo.
 
Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona

👉bana kusanya
  • Anuani yako ya barua(e-mail)
  • Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
  • Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.

Umeona ehh
🙏
Ok mkuu, kama ni hizi sawa.
 
Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yangu.
We raarifa zako zina umuhimu gani?
 
Back
Top Bottom