Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #61
ohoooHatuko hapa kunijadili mm. Ok
Watakuja uza zako. Ww mtu muhimu sana.😉🤣🤣😉😉🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoooHatuko hapa kunijadili mm. Ok
Watakuja uza zako. Ww mtu muhimu sana.😉🤣🤣😉😉🤭
Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.
AI ambayo haina censorship katika kujibu ni Grok, ya Elon M.AI nyingi hazipendi kuongelea mambo ya siasa hata Gemini
https://x.com/i/grok
Yapi hayo?.Google wananifichaga yeye kaamua kufunguka yote
Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.Hatuko hapa kunijadili mm. Ok
Watakuja uza zako. Ww mtu muhimu sana.[emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji6][emoji6][emoji2960]
ChatGPT siku hizi mnalipia? Mwanzoni nilikuwa naenyoy nalo bure likaja kujifunga.Hii deepseek ni free mkuu.
Mchina kampiga chini ,USA na ChatGPT yake ya kulipia
AI zote isipokua za china zinaweza kukupa majibuAI ambayo haina censorship katika kujibu ni Grok, ya Elon M.
Ai zingine zote huwa hazitoi baadhi majibu kwa kina, au kutokutoa kkabisa kwa maswali utakayouliza.
View attachment 3216768
Code:https://x.com/i/grok
kwene browser za computer bure ila kwene cimu unalipiaChatGPT siku hizi mnalipia? Mwanzoni nilikuwa naenyoy nalo bure likaja kujifunga.
Hili la wachina linanijibu kiswahili fasaha utafikiri linanijua
Google na ChatGPT ilikuwa nikiuliza kazi za madini ya Ruby na tanzanite yananijibu kwamba kazi yake ni mapambo.Yapi hayo?.
Hamna taarifa isyo na umuhimu sema umuhimu mdogo!!…Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.
Point ni taarifa zako au yoyote kutoka huku haziwafaidishi chochote significant. Kwenye movie wangesema "You're not the targeted audience."
Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
ChatGPT nilianza nalo bure kwenye simu likaja kuzinguakwene browser za computer bure ila kwene cimu unalipia
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.
Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.
Conclusion:
Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.
USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari
View attachment 3215889
Si ndwele Mkulu?Yet, post yako main subject ni wewe. Hivyo sikuwa na budi.
Point ni taarifa zako au yoyote kutoka huku haziwafaidishi chochote significant. Kwenye movie wangesema "You're not the targeted audience."
Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
Narudia tena, hatuko hapa kunijadili mm. Najua ninachokiongea.Kama unajua unachokiongea, niambie watauza taarifa gani kukuhusu?
ChatGPT iko biased kwenye jambo gani?Hata chatgpt iko biased gemini iko biased. Kila mojawapo ina guidelines na omekuwa trained kusema haya na kutosema haya.
Mwaka juzi nilipata kushiriki project ya kuitrain google bardi kwa kiswahili ambayo sasa ndiyo gemini na lengo lilikuwa kuipma na kuicheat kuona kama itafail kufuata guidelines.
Zote zina paramaters fulani
Grok ni ujinga mtupo, inajibu vitu hata havieleweki.AI ambayo haina censorship katika kujibu ni Grok, ya Elon M.
Ai zingine zote huwa hazitoi baadhi majibu kwa kina, au kutokutoa kkabisa kwa maswali utakayouliza.
View attachment 3216768
Code:https://x.com/i/grok
Mimi mbona mpaka sasa natumia Bure tu.ChatGPT nilianza nalo bure kwenye simu likaja kuzingua
Kuna watu humu wanasema linalipiwaMimi mbona mpaka sasa natumia Bure tu.
Ok mkuu, kama ni hizi sawa.Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona
👉bana kusanya
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
- Anuani yako ya barua(e-mail)
- Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
- Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.
Umeona ehh
🙏
We raarifa zako zina umuhimu gani?Hivyo imeshatoka?
Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.
Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.
Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's
Mawee, mukulu mungu yangu.