Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yangu.
Kila kitu kinakusanya taarifa zako hata simu yako hata jf kuna taarifa wanachukua!
Hamna mtandao usiochujua taarifa yako
 
ChatGPT imejibu kama ifuatavyo;
The Tiananmen Square Massacre, also known as the June Fourth Incident, occurred on June 3-4, 1989, in Beijing, China. It was a violent crackdown by the Chinese government on pro-democracy protests, primarily led by students, intellectuals, and workers who had gathered in Tiananmen Square to demand political reforms, freedom of speech, and an end to government corruption.


The protests had been peaceful for weeks, but the government declared martial law and sent the military to clear the square. Troops and tanks opened fire on unarmed protesters, resulting in hundreds, possibly thousands, of deaths and many injuries. The exact number of casualties remains unknown, as the Chinese government has heavily censored information about the event.


The massacre is a significant and controversial moment in modern Chinese history, symbolizing the government's suppression of dissent and its intolerance of political freedoms. Images of a lone protester, famously known as "Tank Man," standing in front of a column of tanks became an enduring symbol of resistance.
Hiyo haiwezi shindwa jibu!!
Hiyo iulize habar za marekani kuwa uwa indeginious people red indian
 
Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yangu.
hata mimi siwezi yaweka Musimu yangu,..maweeeeer🙌🙌🤣🤣😂😂😂
 
Mfano taarifa gani mkuu?
Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona

👉bana kusanya
  • Anuani yako ya barua(e-mail)
  • Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
  • Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.

Umeona ehh
🙏
 
Kila kitu kinakusanya taarifa zako hata simu yako hata jf kuna taarifa wanachukua!
Hamna mtandao usiochujua taarifa yako
Kweli💯
Inatisha sana. Halafu wanakwambia weka mupassword🤣🤣🤣🤣🤣

Password ni kwajili ya femme asiwone una DM nani, bas2, inakupa a sense of security balakini wakitaka kung'amua banaeza. Sometimes unafanya Voluntary bila ya kutambua...kv notification
Ukieza kusoma .log files za simu yako ya android utaogofya🙌. Fanya utundu uone.
 
Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona

👉bana kusanya
  • Anuani yako ya barua(e-mail)
  • Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
  • Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.

Umeona ehh
🙏
Wewe jamaa siyo AI la huko Congo kweli?. Uandishi wako unatupa shida kuelewa.
 
Kweli💯
Inatisha sana. Halafu wanakwambia weka mupassword🤣🤣🤣🤣🤣

Password ni kwajili ya femme asiwone una DM nani, bas2, inakupa a sense of security balakini wakitaka kung'amua banaeza. Sometimes unafanya Voluntary bila ya kutambua...kv notification
Ukieza kusoma .log files za simu yako ya android utaogofya🙌. Fanya utundu uone.
Sina utundu huo
 
Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona

👉bana kusanya
  • Anuani yako ya barua(e-mail)
  • Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
  • Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.

Umeona ehh
🙏
nenda ✅siyo enda
kwenye store ✅syo mustore
Unayotaka ✅syo vilenataka
wana ✅siyo bana
 
Back
Top Bottom