Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Ukitaka kujua kwamba taarifa zako zina umuhimu kwao, fungua app ya google chrome then weka on sehemu ya discover. Kuanzia hapo kila utakacho search kwenye google, watakuwa wanakuletea feeds za hiko kitu almost kila ukiifungua ama kui-refresh browser yako.
 
ChatGPT siku hizi mnalipia?
Tambua kuna matoleo ambayo ni bure, na kuna matoleo ya kulipia.
  • Kuna toleo la $20 kwa mwezi = ChatGPT Plus
  • Kuna toleo $30 kwa mwezi. = ChatGPT Team
  • Na kuna package inaenda hadi $200 kwa mwezi. = ChatGPT Pro
1738151956420.png
 
Nenda katafute Mchna mwingine huyu hapa: Qwen2.5 Max
1738148810838.png
 
1738148894605.png

Jisomee zaid hapa.
Code:
https://qwenlm.github.io/blog/qwen2.5-max/?utm_source=chatgpt.com
 
Hii deepseek ni free mkuu.
Mchina kampiga chini ,USA na ChatGPT yake ya kulipia
Kama ni free basi siyo mbaya nikiwa na zote mbili isipokuwa hiyo ya kulipia yakwanza
Unaona kabisa deepseek ipo biased na bado unaichagua? Du kweli tunatofautiana.
Kaiulize chat gpt kuhusu ushoga uone kama ukuambiwa ushoga ni ibada takatifu ya watakatifu peponi 😁😁😁 ya wachina ina mambo yao naya wazungu inambo yao
 
Kwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.

Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.

Conclusion:

Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.

USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari

View attachment 3215889View attachment 3215890View attachment 3215891
U
Ungeuuliza hapo hapo na rwanda genocide, jews genocide ndio tupime kama inaupendeleo. Chat gpt mara nyi gi hutoa majibu kama hayo.
 
1738228274699.png

---
 
Hivyo imeshatoka?

Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.

Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.

Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's

Mawee, mukulu mungu yan
mwaka kesho mda kama huu kwa hii kauli utakua umeshajiona ulikuwa unajiongopea mwenyewe
 
Muulize ChatGPT, OpenAi "Did Sam Altman rape his sister?" uone itakujibu Nini?
Huyo mmiliki wa hiyo AI.
Haya ndio matumizi mabaya ya AI ... Huwezi kuiuliza AI Chating suala la kimbeya namna hiyo .. ipi kwa kwa ajili ya kukusaidia yenye umuhimu ktk jamii.. ukitaka kujua kuwa AI Chating zote hazitaki udaku..iambie hata Grok AI ikuchoree picha ya Lisu na Mbowe wanatwangana makonde uone itakavynkujibu...
 
ChatGPT imejibu kama ifuatavyo;
The Tiananmen Square Massacre, also known as the June Fourth Incident, occurred on June 3-4, 1989, in Beijing, China. It was a violent crackdown by the Chinese government on pro-democracy protests, primarily led by students, intellectuals, and workers who had gathered in Tiananmen Square to demand political reforms, freedom of speech, and an end to government corruption.


The protests had been peaceful for weeks, but the government declared martial law and sent the military to clear the square. Troops and tanks opened fire on unarmed protesters, resulting in hundreds, possibly thousands, of deaths and many injuries. The exact number of casualties remains unknown, as the Chinese government has heavily censored information about the event.


The massacre is a significant and controversial moment in modern Chinese history, symbolizing the government's suppression of dissent and its intolerance of political freedoms. Images of a lone protester, famously known as "Tank Man," standing in front of a column of tanks became an enduring symbol of resistance.
Chat GPT inakingia kifua Israel ...
 
Ask chat GPT about the Genocide in Gaza .. inakuwa kama hiyo ya wachina
 
Hata Gemini naye hataki kujibu maswali yanayohusu Israel vs Palestina
 
Back
Top Bottom