Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Sijibizani na mpuuzi. OK.We raarifa zako zina umuhimu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijibizani na mpuuzi. OK.We raarifa zako zina umuhimu gani?
Tambua kuna matoleo ambayo ni bure, na kuna matoleo ya kulipia.ChatGPT siku hizi mnalipia?
Kama ni free basi siyo mbaya nikiwa na zote mbili isipokuwa hiyo ya kulipia yakwanzaHii deepseek ni free mkuu.
Mchina kampiga chini ,USA na ChatGPT yake ya kulipia
Kaiulize chat gpt kuhusu ushoga uone kama ukuambiwa ushoga ni ibada takatifu ya watakatifu peponi 😁😁😁 ya wachina ina mambo yao naya wazungu inambo yaoUnaona kabisa deepseek ipo biased na bado unaichagua? Du kweli tunatofautiana.
UKwa kujua kua AI ya deepseek ni ya china ! Nimeiuliza swali au historia ambayo china huwa hawaipendi.
Lengo ni kuona jinsi technologia yako inavoweza kukufadhiri au kukufichia aibu muhusika.
Conclusion:
Kweli bana ,Zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Ingekua ni app ya marekani wangepondea kama sehemu ya kuichafua nchi nyingine au kukuza uovu.
USHAURI:
Nchi zijitahidi kwenda na kasi ya dunia inasaidia sana kubrand na kupambana na vita ya habari
View attachment 3215889View attachment 3215890View attachment 3215891
Muulize ChatGPT, OpenAi "Did Sam Altman rape his sister?" uone itakujibu Nini?Ndio, amekatazwa kujibu
mwaka kesho mda kama huu kwa hii kauli utakua umeshajiona ulikuwa unajiongopea mwenyeweHivyo imeshatoka?
Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.
Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.
Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's
Mawee, mukulu mungu yan
Huo mjadala na screenshot namna DeepSeek inavyokwepa masuala nyeti kuhusu China pia ulizungumziwa jana kwenye CNN.
Haya ndio matumizi mabaya ya AI ... Huwezi kuiuliza AI Chating suala la kimbeya namna hiyo .. ipi kwa kwa ajili ya kukusaidia yenye umuhimu ktk jamii.. ukitaka kujua kuwa AI Chating zote hazitaki udaku..iambie hata Grok AI ikuchoree picha ya Lisu na Mbowe wanatwangana makonde uone itakavynkujibu...Muulize ChatGPT, OpenAi "Did Sam Altman rape his sister?" uone itakujibu Nini?
Huyo mmiliki wa hiyo AI.
---"Did Sam Altman rape his sister?"
Chat GPT inakingia kifua Israel ...ChatGPT imejibu kama ifuatavyo;
The Tiananmen Square Massacre, also known as the June Fourth Incident, occurred on June 3-4, 1989, in Beijing, China. It was a violent crackdown by the Chinese government on pro-democracy protests, primarily led by students, intellectuals, and workers who had gathered in Tiananmen Square to demand political reforms, freedom of speech, and an end to government corruption.
The protests had been peaceful for weeks, but the government declared martial law and sent the military to clear the square. Troops and tanks opened fire on unarmed protesters, resulting in hundreds, possibly thousands, of deaths and many injuries. The exact number of casualties remains unknown, as the Chinese government has heavily censored information about the event.
The massacre is a significant and controversial moment in modern Chinese history, symbolizing the government's suppression of dissent and its intolerance of political freedoms. Images of a lone protester, famously known as "Tank Man," standing in front of a column of tanks became an enduring symbol of resistance.
Ongesea na za kwako basi lah.mwaka kesho mda kama huu kwa hii kauli utakua umeshajiona ulikuwa unajiongopea mwenyewe
hujajitambua kutokana na nyakati ....Ongesea na za kwako basi lah.
Haya nitarudi 1yr from now, ila kwa sasa siongopi.🙏🤭