Nimeamua kumuudhi mchina kwa habari asizozipenda. Nipo na DeepSeek ya China

Kila kitu kinakusanya taarifa zako hata simu yako hata jf kuna taarifa wanachukua!
Hamna mtandao usiochujua taarifa yako
 
Hiyo haiwezi shindwa jibu!!
Hiyo iulize habar za marekani kuwa uwa indeginious people red indian
 
hata mimi siwezi yaweka Musimu yangu,..maweeeeer🙌🙌🤣🤣😂😂😂
 
Mfano taarifa gani mkuu?
Enda mu store ya gugel bonyeza kitufe inasema DATA COLLECTED mu app yeyote ile vileunataka kushusha, utaona

👉bana kusanya
  • Anuani yako ya barua(e-mail)
  • Telofone yako, hii banachukua munamba bakupigie.
  • Foto na film, kama ulipiga mupicha kwa dansi, banajua😁
Taarifa zingine banaeza ng'amua ni kama
Mulekeshan. Location ya simu ect ect.
Kitu muzuri ukiomba bafute Data banafuta(sio ya mukichwa) ila banafuta.

Umeona ehh
🙏
 
Kila kitu kinakusanya taarifa zako hata simu yako hata jf kuna taarifa wanachukua!
Hamna mtandao usiochujua taarifa yako
Kweli💯
Inatisha sana. Halafu wanakwambia weka mupassword🤣🤣🤣🤣🤣

Password ni kwajili ya femme asiwone una DM nani, bas2, inakupa a sense of security balakini wakitaka kung'amua banaeza. Sometimes unafanya Voluntary bila ya kutambua...kv notification
Ukieza kusoma .log files za simu yako ya android utaogofya🙌. Fanya utundu uone.
 
Wewe jamaa siyo AI la huko Congo kweli?. Uandishi wako unatupa shida kuelewa.
 
Sina utundu huo
 
nenda ✅siyo enda
kwenye store ✅syo mustore
Unayotaka ✅syo vilenataka
wana ✅siyo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…