Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Mapambano kokote mkuu..Kila kheri kwa uamuzi wako ase maisha haya bila kuyapambania hakuna atakayepoteza muda kukufikiria cha muhimu kupambana huko mbele ya safari watakuja watu wa kukushika mkono watakuvusha vyema sana lakini hata kama hawatakuwepo kama unamwamini Mungu na haufanyi dhuluma au kazi ambazo sio halali amini kwamba kutoboa maisha kupo.
 
Miaka 32 ni mingi sana...pambana dogo langu...ila haya yote yamesababishwa na magu
Hahahaha kwa kweli Magufuli hatakiwi kupumzika yaani jamaa kakaa kwa ndugu zake tokea akiwa na umri wa miaka 23 mpaka sasa ana miaka 32 wakulaumiwa Magufuli ambaye katawala miaka mitano!
Ila muda mwingine afadhari mtu aliyeanza mapema kupambana na maisha maana anakuwa kakwepa mishale mingi tofaui na anayeanza huku kachelewa maana maisha haya mara nyingi lazima ule za uso kwanza ndo mtaa uujue vizuri! Ila si haba maana kaamua kuyavulia nguo maji sharti ayaoge!
 
Habari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.

Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.

Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.

Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.

Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.

Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.

Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
Kila la kheri
 
Hahahaha kwa kweli Magufuli hatakiwi kupumzika yaani jamaa kakaa kwa ndugu zake tokea akiwa na umri wa miaka 23 mpaka sasa ana miaka 32 wakulaumiwa Magufuli ambaye katawala miaka mitano!
Ila muda mwingine afadhari mtu aliyeanza mapema kupambana na maisha maana anakuwa kakwepa mishale mingi tofaui na anayeanza huku kachelewa maana maisha haya mara nyingi lazima ule za uso kwanza ndo mtaa uujue vizuri! Ila si haba maana kaamua kuyavulia nguo maji sharti ayaoge!
Hakuna kingine nadhani huo ndio uamuzi sahihi
 
Mapambano kokote mkuu..Kila kheri kwa uamuzi wako ase maisha haya bila kuyapambania hakuna atakayepoteza muda kukufikiria cha muhimu kupambana huko mbele ya safari watakuja watu wa kukushika mkono watakuvusha vyema sana lakini hata kama hawatakuwepo kama unamwamini Mungu na haufanyi dhuluma au kazi ambazo sio halali amini kwamba kutoboa maisha kupo.
Ahsante mkuu ubarikiwe
 
Thd za aina hii ndio hua zinapendwa na baadhi ya wana JF wengi tu,watakutia moyo sijui pambana mwanangu usirudi nyuma,kila mtu atakuombea dua ili uje ufanikiwe,

Sasa kimbembe kinakuja pale mtu anapocomment tu au kushusha thd na akaonekana kuonyesha ana good life au yupo mbele anabeba box, utasikia acha uongo wewe,upo Kijijini unateseka huko unakuja kututambia JF? mara utadhihakiwa sijui hongera kwa kua na Gari, utapondwa,utasimangwa,utaonekana muongo!

😀 😀
 
Nimekuelewa kaka nitafanya hivo
Nliwahi shuhudia jamaa mmoja alikuwa above 35 anaishi kwa kaka ake akapewa gets banda la uwani kakaa zaidi ya mwaka..ajabu ni kwamba
Kijana yule anafanya shughuli za hapa na pale ila hajawahi rudi nyumbani hata mkate wa buku jero japo anaondoka kanywa chai,dawa ya meno anaomba kwa waliomhifadhi ..ndala za bafuni anaomba pia..japo alipenda sana juice hakuwahi nununua hat parachichi la kero.. route zake nyingi ji vijjn hakuwahi jiongeza japo kurudi na mkaa hata debe moja japo hadi pikipiki alipewa(ajabu sana )kijjn huko kuku bei chee hakuwahi kuja japo na kifaranga..lkn alitaka apewe heshima sawa na baba mjengo km kufanyiwa usafi chumba chake,kufuliwa nguo zake na mashuka na kutandikiwa kitanda alicholalia yeye ,haya ndi madhara ya kukaa na kijana more than 18 yrs nyasi zinaota hadi mlangoni hawezi jiongeza kupalilia mpaka aambiwe..hak7na mtihan mgumu kuish na mtu mzima asiyejiongeza na kujitambua yy nani ,nafasi yake ni ipi
 
Unawaza -ve tu, mi naamini atafanikiwa.
Yani wewe unataka jamaa aendelee kua tegemezi kwa ndgu zake.

Huyo jamaa wa muleba ni mmoja kati ya 100 waliotusua. Huyo jamaa sio mtoto miaka 32 umesepa kwenu halafu urudi eti life limekupiga tena labda aumwe au apate ulemavu la sivyo naamini hawezi kurudi.

Huyo wa muleba kama hakuumwa na hakupata ulemavu wowote na kaamua kurudisha mpira kwa kipa nae ni lofa tu.
Kama alikosa back up kabisa angefanya nini?😆.
Bora arudi kwao kama mapumziko/kusalimia. Ajitafute upya.
Kila mtu kajengwa tofauti access na neema zako mwingine unakuta hana kabisa.
 
Habari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.

Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.

Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.

Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.

Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.

Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.

Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
32 loooooooooooooooh

Aseee gaile murife parakwingi
 
Nliwahi shuhudia jamaa mmoja alikuwa above 35 anaishi kwa kaka ake akapewa gets banda la uwani kakaa zaidi ya mwaka..ajabu ni kwamba
Kijana yule anafanya shughuli za hapa na pale ila hajawahi rudi nyumbani hata mkate wa buku jero japo anaondoka kanywa chai,dawa ya meno anaomba kwa waliomhifadhi ..ndala za bafuni anaomba pia..japo alipenda sana juice hakuwahi nununua hat parachichi la kero.. route zake nyingi ji vijjn hakuwahi jiongeza japo kurudi na mkaa hata debe moja japo hadi pikipiki alipewa(ajabu sana )kijjn huko kuku bei chee hakuwahi kuja japo na kifaranga..lkn alitaka apewe heshima sawa na baba mjengo km kufanyiwa usafi chumba chake,kufuliwa nguo zake na mashuka na kutandikiwa kitanda alicholalia yeye ,haya ndi madhara ya kukaa na kijana more than 18 yrs nyasi zinaota hadi mlangoni hawezi jiongeza kupalilia mpaka aambiwe..hak7na mtihan mgumu kuish na mtu mzima asiyejiongeza na kujitambua yy nani ,nafasi yake ni ipi
35 looh
Kwisha habari yake
 
Safi kijana umeamua kujilipua. Fuata haya.
1.Piga chini marafiki bakiza wawili tu wa msingi.
2.Chagua kazi, usifanye kila kazi achana na wakina usichague kazi, hii itasaidia kuacha kutangatanga bila maslahi.
3.Muda wako ni bidhaa ni fedha, msaada ukiona utazidi nusu saa, charge hata 1000. Kuna time nilikwama sehemu, hawa wakina whatsapp Gb,sijui simu imefanyaje mwendo ni buku.
4.Inaendelea ktk muda, storiza kusukuma muda achana nazo au zisizidi 45 dakika kakae hata ndani tu.
5.Jenga tabia ya kununua bidhaa duka moja na kuwa mwaminifu(rafiki wa tatu huyu)ukikwama unaweza kopa kidogo.
6.Jifunze skill mpya ambayo inaweza kukufanya u survive mfano kuendesha chombo cha moto pikipiki au gari.
7.Ukipata hela nunua bidhaa zinazoweza kuzalisha, sio subwoofer,Tv hauna huo muda kwa sasa..bora ununue kitabu. Nunua kitu kama kompyuta unaweza kuwaambia watu mtaani unaweka muvi kwa buku kadhaa. Watangazie wadada na wamama wa hapo ulipopanga,watawaambia wenzao.Nunua flash za mafungu uzia geto reja reja ukitoka mitikasi.
HIZO ZOTE NI INTERMISSIONS wakati unaitafuta MISSION kubwa ili usishindwe kula na kulipa kodi.
Mtaani hapo kama kuna gap la ulinzi mcheki mjumbe akujumuishe kwa malipo usikae bure, na usilale sana lala masaa manne hadi matano tu.
8. Usione noma man, yule rafiki wa tatu mwombe uweke hata bidhaa moja au mbili dukani kwake hata karanga.
9.USISIKILIZE DHIHAKA NA MAJIGAMBO YA WATU KILA MTU ANA NJIA ZAKE NA MAGUMU YAKE,KAMA YEYE KAWA BLESSED NA NJIA RAHISI NI YEYE NA HAKUSAIDII KITU.
Kama kejeli za waliokujibu huko juu wakikuona mzembe. We waza hao wote ni mik*n*u tu fanya yako.
 
Safi kijana umeamua kujilipua. Fuata haya.
1.Piga chini marafiki bakiza wawili tu wa msingi.
2.Chagua kazi, usifanye kila kazi achana na wakina usichague kazi, hii itasaidia kuacha kutangatanga bila maslahi.
3.Muda wako ni bidhaa ni fedha, msaada ukiona utazidi nusu saa, charge hata 1000. Kuna time nilikwama sehemu, hawa wakina whatsapp Gb,sijui simu imefanyaje mwendo ni buku.
4.Inaendelea ktk muda, storiza kusukuma muda achana nazo au zisizidi 45 dakika kakae hata ndani tu.
5.Jenga tabia ya kununua bidhaa duka moja na kuwa mwaminifu(rafiki wa tatu huyu)ukikwama unaweza kopa kidogo.
6.Jifunze skill mpya ambayo inaweza kukufanya u survive mfano kuendesha chombo cha moto pikipiki au gari.
7.Ukipata hela nunua bidhaa zinazoweza kuzalisha, sio subwoofer,Tv hauna huo muda kwa sasa..bora ununue kitabu. Nunua kitu kama kompyuta unaweza kuwaambia watu mtaani unaweka muvi kwa buku kadhaa. Watangazie wadada na wamama wa hapo ulipopanga,watawaambia wenzao.Nunua flash za mafungu uzia geto reja reja ukitoka mitikasi.
HIZO ZOTE NI INTERMISSIONS wakati unaitafuta MISSION kubwa ili usishindwe kula na kulipa kodi.
Mtaani hapo kama kuna gap la ulinzi mcheki mjumbe akujumuishe kwa malipo usikae bure, na usilale sana lala masaa manne hadi matano tu.
8. Usione noma man, yule rafiki wa tatu mwombe uweke hata bidhaa moja au mbili dukani kwake hata karanga.
9.USISIKILIZE DHIHAKA NA MAJIGAMBO YA WATU KILA MTU ANA NJIA ZAKE NA MAGUMU YAKE,KAMA YEYE KAWA BLESSED NA NJIA RAHISI NI YEYE NA HAKUSAIDII KITU.
Kama kejeli za waliokujibu huko juu wakikuona mzembe. We waza hao wote ni mik*n*u tu fanya yako.
Best reply
 
Back
Top Bottom