Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Jamaa simjui na hakuna nilipopinga nilichompa ni ushauri huwezi ukafanya Mambo kwa kukurupuka, nikampa mfano wa yule jamaa alienda muleba akaanza kutapatapa humu anaomba MSAADA wakati kwao aliondoka mwenyewe akaenda muleba eti kutafuta maisha hamjui mtu hana ramani akaanza kuomba kazi kwenye ofisi za utalii so what? Fanya Mambo kisomi sio unakurupuka ukipata shida unaanza kusumbua watu na kutiatia huruma
Unawaza -ve tu, mi naamini atafanikiwa.
Yani wewe unataka jamaa aendelee kua tegemezi kwa ndgu zake.

Huyo jamaa wa muleba ni mmoja kati ya 100 waliotusua. Huyo jamaa sio mtoto miaka 32 umesepa kwenu halafu urudi eti life limekupiga tena labda aumwe au apate ulemavu la sivyo naamini hawezi kurudi.

Huyo wa muleba kama hakuumwa na hakupata ulemavu wowote na kaamua kurudisha mpira kwa kipa nae ni lofa tu.
 
Unachekesha kweli,sasa wataka wazazi au wewe,kweli vijana wa sasa hivi ovyo sana,yani wewe ndo unapanga maisha yako,wazazi washakulea umekuwa wamemaliza yao kilichobaki ni wewe tu
Punguza dharau ndugu. Kuna watu walitoka wakaenda kujitegemea wakapata mpk watoto na maisha yakawashinda wakarudi nyumbani.
Maisha hayana formula. punguza dharau. Mbona kuna watu wanajitegemea lkn bado hawana kitu?
 
Ni kweli kabisa ndugu hii kitu imenilemaza hakika
Ukifika ukapata hela
1. Achana na marafiki wasiokuwa na faida
2. Kuwa na demu mmoja wa shida na raha
3. Ukifanikiwa usidharau mtu wala kumsema kuwa hajafanikiwa kwa uzembe au uvivu. Heshimu kila mtu ila usijichanganye sana watu mpk wakakuzoea
4. Binadamu wanapenda watu wenye kitu kwahiyo usitoe msaada sana, hifadhi hiyo mali kwa maisha yako ya mbeleni. Siyo jamaa yako akikuomba 50,000 unampa angalia atakayekuhifadhi nawe kipindi unashida.
N.B
Maisha yanahitaji uvumilivu na nidhamu ya hela na afya.
 
Ndio maana nikakwambia plan yako sio unakurupuka je umeandaa mazingira gan uko unakokwenda? Km umejiandaa go ahead champ one day yes no retreat no surrender,
Wewe inaonekana mwoga wa kuthubutu ..acha atoke kwenye hiyo comfort zone kwanza! Atapata spirit ya ajabu kufight
 
Unawaza -ve tu, mi naamini atafanikiwa.
Yani wewe unataka jamaa aendelee kua tegemezi kwa ndgu zake.

Huyo jamaa wa muleba ni mmoja kati ya 100 waliotusua. Huyo jamaa sio mtoto miaka 32 umesepa kwenu halafu urudi eti life limekupiga tena labda aumwe au apate ulemavu la sivyo naamini hawezi kurudi.

Huyo wa muleba kama hakuumwa na hakupata ulemavu wowote na kaamua kurudisha mpira kwa kipa nae ni lofa tu.
Afu tena ukiwa mwanaume popote pale unaenda...unajilipua kokote tu
 
Wewe inaonekana mwoga wa kuthubutu ..acha atoke kwenye hiyo comfort zone kwanza! Atapata spirit ya ajabu kufight
Ahsanteni ndugu zangu kwa kunitia moyo kiukweli naona nitoke tu maeneo haya hiii itanisukuma zaidi katika utafutaji
 
Mpaka sasa umeshafanikiwa brother,,,Mwenyezi Mungu anaangalia nia yako,,,kitakachofata kitakushangaza sana,,,Mungu hamtupi mja wake,,Neema na iwe juu yako..
Ahsante sana kaka ubarikiwe pia
 
So chimakeke kapata mdau mpya na kauli mbiu ya TOKENI MAGETONI
 
Mpaka sasa umeshafanikiwa brother,,,Mwenyezi Mungu anaangalia nia yako,,,kitakachofata kitakushangaza sana,,,Mungu hamtupi mja wake,,Neema na iwe juu yako..
Ahsante sana ndugu yangu
 
Ahsanteni ndugu zangu kwa kunitia moyo kiukweli naona nitoke tu maeneo haya hiii itanisukuma zaidi katika utafutaji
Sepa tu mkuu, ila tu usiondoke kwa shari. Kama upo karibu nao basi hata baada ya miezi 3 au 4 unawatembelea.
 
Sepa tu mkuu, ila tu usiondoke kwa shari. Kama upo karibu nao basi hata baada ya miezi 3 au 4 unawatembelea.
Siwez ondoka kwa shari maana atujakorofishana bac ni uamuzi tu nimechukua baada ya kuona ni muda sahihi wa mimi kujitegemea
 
Back
Top Bottom