Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Uamuzi mzuri, ila ungejipa kama mwezi hivi,.inawezekana spirit hiyo imechochewa zaidi na hisia kuliko uhalisia, baki Kwanza kwa broh, then fanya michakato ukiwa hapo, ukitoka atleast uwe na pakushika, mtaani kugumu sana sio km unavyofikiri wew, jipange usije poteza ubingwa au kujiingiza kwenye madawa ya kulevya.