Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Uamuzi mzuri, ila ungejipa kama mwezi hivi,.inawezekana spirit hiyo imechochewa zaidi na hisia kuliko uhalisia, baki Kwanza kwa broh, then fanya michakato ukiwa hapo, ukitoka atleast uwe na pakushika, mtaani kugumu sana sio km unavyofikiri wew, jipange usije poteza ubingwa au kujiingiza kwenye madawa ya kulevya.
 
Habari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.

Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.

Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.

Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.

Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.

Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.

Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
As long umeamua kuthubutu basi utaweza mkuu, watu wengi hukosa uthubutu wa kuchukua hatua ili kupambania maisha yao.
 
Plan yako ipoje huwezi ukasema unavamia tu kariakoo unaanza kutengeneza simu huna goli huna mtu, emu acha kutupanga
Nina baadhi ya watu kule walikuwa wananifundisha kazi kwahiyo kupata eneo tayari washakubali napesa ya meza nilishawapa
 
Naam kaka hilo ndio lengo kuu na tayari nishaanda kimeza cha kuzugia kesho nadhani kitakuwa tayari kwa matumizi ndio maana nimeamua kujilipua coz najua ndani ya hiyo miez mitatu ntakuwa nishakuwa mzoefu na kodi ntaweza kuilipa kwa kudra za mungu
Hapa kuna watu watakukatisha tamaa,funga masikio ndugu,jitazame wewe kivyako,kumbuka wewe ndo utakaye ya ongoza maisha yako ukifeli imekula kwako
 
Akizaa na demu asiye na kazi atamtegemea kwa kila kitu,mademu siku hizi wanajielewa akiwa na pesa tu anatafuta mwanaume wa kuzaa naye tu yeye anajihudumia kwa kila kitu
Mademu wa uko kwenu Njombe au?
 
Nina baadhi ya watu kule walikuwa wananifundisha kazi kwahiyo kupata eneo tayari washakubali napesa ya meza nilishawapa
Ndio maana nikakwambia plan yako sio unakurupuka je umeandaa mazingira gan uko unakokwenda? Km umejiandaa go ahead champ one day yes no retreat no surrender,
 
Umeamua kuondoka ila usihame kwa jeuri muage vizuri tu kiroho safi asije kukunjia..
 
Tatizo bado wewe katoto,jichanganye mjini na jifunze ujanja
Mkuu km uko kwenu ndio kuna mademu wa hivyo kwamba akiwa na pesa tu basi anakuita umtombe azae fungua kituo cha kuwaunganisha vijana na hao mademu wawazalishe bure tena anza na huyu mwamba anaekimbia kwao na kwenda kujitia suluba za maisha, acha kujimwambafai hakuna mademu wa hivyo narudia tena hao mademu hawapo acha kutuungia hio chai ya tangawizi
 
Ni kweli na sometimes uoga pia unatufanya tufeli pia bro nimemshirikisha naona kama kafurahia hilo jambo la mimi kuchukua uamuzi huo
Lazima afurahie uamuzi huo maana nayeye umempunguzia mzigo kumbuka ulikua tegemezi now unaenda kujitegemea.
 
Umeamua kuondoka ila usihame kwa jeuri muage vizuri tu kiroho safi asije kukunjia..
Nimemuaga vzr pia naona kafurahi mimi kuchukua uamuzi huo alichoniambia tu ni kwamba yeye awez kunifukuza swala nimimi mwenyewe kuchukua uamuzi pia nimshirikishe mama
 
Habari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.

Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.

Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.

Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.

Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.

Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.

Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
Mungu akutangulie, akupe nguvu na moyo wa kuendelea kujipambania.
Utatoboa kwa sabb ww ni mwerevu.
 
Hapana amekaa kwa bro akiwa hana plan yaan alipoona msoto umezidi na bro aeleweki kaona akurupuke aende kupanga na kuanza kula msoto upya
Nimesema labda wewe unapinga kabisa mkuu, kwani we unamjua jamaa!??
 
Mkuu km uko kwenu ndio kuna mademu wa hivyo kwamba akiwa na pesa tu basi anakuita umtombe azae fungua kituo cha kuwaunganisha vijana na hao mademu wawazalishe bure tena anza na huyu mwamba anaekimbia kwao na kwenda kujitia suluba za maisha, acha kujimwambafai hakuna mademu wa hivyo narudia tena hao mademu hawapo acha kutuungia hio chai ya tangawizi
Sawq,ila siongei hapa kujisifu,ila nayokuambia yapo sana,ebu jaribu kutafuta mademu wenye uwezo kidogo wa maisha,najua unawaogopa
 
Mh pole ila aibu pia mzee mzima unazeekea kwa dada yako
 
Back
Top Bottom