Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Ahsante sana chief nitapotea kwa muda ila naamini ipo siku nitarudi humu nikiwa mshindi nitaleta mrejesho kwa rehema zake mola
Kuna jamaa alipotelea Muleba akawa anaomba MSAADA humu sijui aliishia wapi yule jamaa, uzi wake watu walikua wanaupita km hawauoni, sikia mkuu kabla haujafanya jambo lazima uwe na in & out, je wewe umejipangaje au umekurupuka tu je umemshirikisha nani katika maamuzi yako, mwingine anakupump humu yeye bado anagongea ugali w shikamoo kwa baba yake na ana 40+ Ila hajafikia maamuzi uliyoyaamua wewe, jiulize je ninachofanya ni sahihi nafuata njia ya mafanikio au nafuata njia ya kujipa Uhuru wa kufanya ngono na anasa?

32 sio umri mkubwa kwa kipindi hiki kutokana na mfumo wa maisha ulivyo ni tofauti na wengine walivyo wengi wenye 30+ wapo makwao hawajapanga na wengine hawana kazi, hawana ajira bado wanatangatanga tu hapa mjini, sasa ukienda huko unapoenda pakakubana let say ukafeli vibaya what's your plan B & plan C yaan ukifeli hiki basi utafanya hiki maana inanekana lazima urudi na km hujarudi ukalazimisha basi utaingia kwenye matukio ya kuwapiga watu aidha utawaibia au utafanya vyovyote ili upate pesa uweze kujikimu maana hakuna anaekusaidia na huwezi kuishi bila kula,
 
Kuna jamaa alipotelea Muleba akawa anaomba MSAADA humu sijui aliishia wapi yule jamaa, uzi wake watu walikua wanaupita km hawauoni, sikia mkuu kabla haujafanya jambo lazima uwe na in & out, je wewe umejipangaje au umekurupuka tu je umemshirikisha nani katika maamuzi yako, mwingine anakupump humu yeye bado anagongea ugali w shikamoo kwa baba yake na ana 40+ Ila hajafikia maamuzi uliyoyaamua wewe, jiulize je ninachofanya ni sahihi nafuata njia ya mafanikio au nafuata njia ya kujipa Uhuru wa kufanya ngono na anasa?

32 sio umri mkubwa kwa kipindi hiki kutokana na mfumo wa maisha ulivyo ni tofauti na wengine walivyo wengi wenye 30+ wapo makwao hawajapanga na wengine hawana kazi, hawana ajira bado wanatangatanga tu hapa mjini, sasa ukienda huko unapoenda pakakubana let say ukafeli vibaya what's your plan B & plan C yaan ukifeli hiki basi utafanya hiki maana inanekana lazima urudi na km hujarudi ukalazimisha basi utaingia kwenye matukio ya kuwapiga watu aidha utawaibia au utafanya vyovyote ili upate pesa uweze kujikimu maana hakuna anaekusaidia na huwezi kuishi bila kula,
Huenda hiyo aliyochukua saivi ndo plan B/C baada ya kukaa kwa bro kufeli vibaya.
 
Huenda hiyo aliyochukua saivi ndo plan B/C baada ya kukaa kwa bro kufeli vibaya.
Hapana amekaa kwa bro akiwa hana plan yaan alipoona msoto umezidi na bro aeleweki kaona akurupuke aende kupanga na kuanza kula msoto upya
 
Ila maisha ya kujitegemea manzuri sana,hapa nilipo nina watoto 6 kila mtoto na mama yake,wote wapo kwa mama zao hapa naishi mwenyewe tu
Hongera mkuu ila umenitisha inaonekana unawatandika rungu sana dada zetu
 
Hongera mkuu ila umenitisha inaonekana unawatandika rungu sana dada zetu
Ndio huwa siwavungiagi,nikishalewa najikuta natongoza demu la maana mpaka watu wananishanga mademu zangu,wa maana sijawahi kutoka na demu,asiye na kazi na maisha yake,ndo maana watoto kulea sioni tabu
 
Kaka soMetime maamuzi magumu yanasaidia pia bahati zipo hiyo ni kama kamari unaweza kufeli au kuwin by the way nina ujuzi wa ufundi wa cm naweza jichanganya huko kariakoo nikapata ramani
Hapana amekaa kwa bro akiwa hana plan yaan alipoona msoto umezidi na bro aeleweki kaona akurupuke aende kupanga na kuanza kula msoto upya
 
Ndio huwa siwavungiagi,nikishalewa najikuta natongoza demu la maana mpaka watu wananishanga mademu zangu,wa maana sijawahi kutoka na demu,asiye na kazi na maisha yake,ndo maana watoto kulea sioni tabu
Itanibidi nifate njia zako mkuu
 
Kaka soMetime maamuzi magumu yanasaidia pia bahati zipo hiyo ni kama kamari unaweza kufeli au kuwin by the way nina ujuzi wa ufundi wa cm naweza jichanganya huko kariakoo nikapata ramani
Jichanganye mdogo wangu,alafu uwe una make ukipata usitumie zote,ili uje kufungua ofisi yako
 
Kaka soMetime maamuzi magumu yanasaidia pia bahati zipo hiyo ni kama kamari unaweza kufeli au kuwin by the way nina ujuzi wa ufundi wa cm naweza jichanganya huko kariakoo nikapata ramani
Plan yako ipoje huwezi ukasema unavamia tu kariakoo unaanza kutengeneza simu huna goli huna mtu, emu acha kutupanga
 
Habari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.

Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.

Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.

Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.

Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.

Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.

Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
Nenda baba Mungu akutangulie
 
Jichanganye mdogo wangu,alafu uwe una make ukipata usitumie zote,ili uje kufungua ofisi yako
Naam kaka hilo ndio lengo kuu na tayari nishaanda kimeza cha kuzugia kesho nadhani kitakuwa tayari kwa matumizi ndio maana nimeamua kujilipua coz najua ndani ya hiyo miez mitatu ntakuwa nishakuwa mzoefu na kodi ntaweza kuilipa kwa kudra za mungu
 
Back
Top Bottom