Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Napokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni. Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi. Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu. Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
 
Wacha weeee unaijua bei yake au unqongea tu hii chuma ukiagiza japani ya bei ndogo ni 4mil ngoma inakwenda hadi 20mil
Siku nainunua kwenye mnada nlinunua 3mil used
20211211_151527.jpg
 
wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Nauli laki 4 kwa mwezi,!!!! wanatumia usafiri gani huo hadi nauli ifike huko??
Kama ni wadada sawa maana wao kupanda boda kwa sio kitu kabisa ila kwa me nauli laki 4 usafiri wa uma hii hii dar aisee jitafakari una uvivu usiomithirika.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.

"Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu?"

Hata Bajaj achana nazo, tembea kwa Miguu tu.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Mkuu kama umeshindwa kuendesha gari hilo naomba uniuzie please.
 
Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.

Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.

Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Changanya changamoto
Siku Gari siku public unachek na ratb
 
wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Uwongo sio mzuri Chief,, usiongee Just kuwafurahisha watu,mtu anayekaa chanika na kufanya kazi posta hutumia buku tatu kwenda na kurudi.

Atapanda mpk gmboto nauli 800 then kutoka pale mpk posta 700 jumps 1,500 na kurudi hivyo hivyo

Ruti namba mbili anapanda kutoka chanika mpk machinga complex 1,300 na pale mpk posta 600 jumla 1,900 na kurudi jumla 3,800

Haya laki nne yatoka wapi?
 
Uwongo sio mzuri Chief,, usiongee Just kuwafurahisha watu,mtu anayekaa chanika na kufanya kazi posta hutumia buku tatu kwenda na kurudi.

Atapanda mpk gmboto nauli 800 then kutoka pale mpk posta 700 jumps 1,500 na kurudi hivyo hivyo

Ruti namba mbili anapanda kutoka chanika mpk machinga complex 1,300 na pale mpk posta 600 jumla 1,900 na kurudi jumla 3,800

Haya laki nne yatoka wapi?
unaongea kirahisi sana,

utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....


nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
 
Nauli laki 4 kwa mwezi,!!!! wanatumia usafiri gani huo hadi nauli ifike huko??
Kama ni wadada sawa maana wao kupanda boda kwa sio kitu kabisa ila kwa me nauli laki 4 usafiri wa uma hii hii dar aisee jitafakari una uvivu usiomithirika.
ikifika saa mbili tu hadi boda wanapandisha nauli dah...

asubuhi ukitoka home na libuku ten huwezi rudi home hata na senti moja zaidi ya njaa, miayo na kutia huruma tu...
 
Back
Top Bottom