Uchaguzi 2020 Nimeamua kura yangu asubuhi na mapema Lissu atapata

Uchaguzi 2020 Nimeamua kura yangu asubuhi na mapema Lissu atapata

Kama si Lissu kura yangu ninampa Hashi Rungwe. Yule ni mpinzani wa kweli.
 
Kumpigia Lisu ndobuandike maelezo malefu hivyo?
Hata hivyo wewe ni shabiki yake kwa hiyo kusingekua na haja ya kusema kwani unajulikana na ni haki yako.
 
Mwanzo Mimi nilikuwa namkubali Magufuli lakini hizi hapa ni sababu ambazo zinanifanya nimpe Rais wangu Lissu kura

1: Mpaka sasa hivi hamna aliyejibu hoja za Lissu kwa ufasaha!

2: Magufuli anachuki ya waziwazi tena inaonekana ni Mtu katili kwa vitisho anavyovitoa kwamba tusipochagua CCM na watu wake, hatatuletea maendelea hii kauli inakera tena inaudhi sana cjui kama yeye unajua! Alafu anaotuambia ni watu wazima wenye akili zetu! Anatulazimisha tuchague jambazi ilimradi yupo CCM? Sisi ni watoto?! Hizo hela anatoa mfukoni mwake! Kwa kauli hii kura Yangu hapati!

3: Tumeona viongozi wengi wa upinzani wakitekwa na kuuliwa na wengine kuuliwa hadharani( mawazo), hajawahi kutoa tamko lolote hadharani la hata kukemea lakini yule wa iringa katoa tamko hadharani, hizi chuki za waziwazi kwa upinzani, Kura Yangu hapati!!!!

4: Kitendo cha kuwaengua wapinzani peke yao, Hamna hata mbuge au diwani wa CCM hata mmoja aliyeenguliwa huu uonevu wa waziwazi kwa wananchi, wananchi tunaumia sana, kutuletea Mtu eti kapita bila kupingwa na jimbo lina watu zaidi 100,000 ni upuuzi wa hali ya juu! ( Magufuli hapati kura Yangu)

5: Magufuli ndiye kiongozi wa serikali alitakiwa awe mfano kwa wengine lakini amekuwa yeye wa kwanza kuvunja maadili ya uchaguzi NEC haifanyi chochote NEC ipo kwa ajili ya upinzani tu wala CCM , wananchi tunaona yanayofanyika!

6: Upinzani upo mioyoni mwa watu akina mbowe ni wawakilishi ttu, wanavyoonewa ndivyo mnavyotuonea wananchi, tuna makovu mengi sana tuliyoumia miaka 5, CCM mnasema mmefanya Maendeleo lakini wananchi hawana Amani, hawapo guru!

6: Suala la vitambulisho wengi hawakumuelewa lissu,mliojaribu kujibu mnatetea matumbo tu! Kuna watu vijijini wanafanya biashara kwa msimu tu sio siku zote, mfano mm Nina ndizi zangu shambani, nikipata mkunga wangu mmoja upo tiyari naenda nauza, alafu nasubiria tena, lakini nadaiwa 20,000 kwa ajili ya kitambulisho, mfano mkulima ana mchungwa wake mmoja, machungwa yanazaa kwa mwaka Mara moja, na ni ndani ya mwezi mmoja tu! Unanidai kitambulisho cha mwaka! Hapa ilitakiwa uwekwe utaratibu mzuri utakaomfaidi kila mmoja! Hamna wa kuijibu hii hoja

7: Upendeleo kwenye vyombo vya habari, sio kwamba vyombo vya habari vinashindwa kuriport habari ya upinzani ni kwa sababu vinatishwa sana vinaogopa,Hamna Uhuru tena

8: Kama kweli CCM inajiamini imefanya makubwa kwenye nchi hii , mbona inatumia nguvu nyingi sana mpaka na tunatishiwa hadharani, mimi naona CCM inapita kuburudisha tu (fiesta) wala sio kampeni,wananchi tunataka Sera sio wakata viuno majukwaani

9: Kiukweli wananchi wana hali mbaya mtaani,hela Hamna, vyitu vimepanda bei! Hamna nyongeza ya mshahara, ajira Hamna , alafu tunafarijiwa na ndege! Kura Yangu siwezi kuwapa CCM!

Tundu Lissu karibu ikulu ututee, maana hawa walio madarakani hata sheria ambazo wamejitungia wenyewe hawajui kuzifuata, inashangaza sana, mpaka Mkurugezi wa uchaguzi kitabu chake cha maadili ya uchaguzi hajawahi kukisoma!! Anatoa tu matamko wakishirikiana na mlinda mlango wa CCM( Polepole), Tundu una kazi, kweli unaacha kutoa Sera unaanza kuwapa NEC semina? Wewe ulitakiwa uwe mwanasheria wa nchi hii, maana hata aliyeko sijui ana kazi gani? Ni kuchukua kodi zetu tu!, kabla hujaenda Dodoma wakulipe posho ya Semina ya Jana!.

Wananchi tumuunge Mkono, Tundu Lissu, ndiye mzalendo wa kweli wengine wote ni wanafiki, nje wana maneno laini lakini mioyoni mwao ni umbwa mwitu!! Wananchi tunapenda Maendeleo lakini hatutaki kupelekeshwa kisa tu unatupa Maendeleo, tunahitaji kuwa na Amani, kuwa huru sio kila mara tunaona Ndugu zetu wanatekwa, wanauawawa , wanapigwa risasi, na hatuoni hatua yoyote ikichukuliwa kisa ni wapinzani, alafu Mtu mmoja anasema tumenunua ndege, tumejenga reli, tumejenga hospitali nk, je! Hivyo ni bora kuliko utu?

Hivyo ni bora kuliko damu ya mawazo, Azory, sanane, tundulissu, na wengine? Awamu ya tano hebu jipambanue vizuri! Msione watu wanafuata Tundu Lissu bila wakata viuno, yale ndiyo mapenzi yenyewe kwa mtu anayekubalika!! Leo ninaishia hapo!

Lakini ukweli ndo huo kura Yangu, familia Yangu ipo kwa mheshimiwa lissu!!!
He is guilty in his heart.

Hivi wa iringa katoa tamko gani?? Muulizeni vipi kutamu?
 
Haya nenda kachukue mgao wako wa T-shirt na kofia uwahi kwenye lorry kabla halijaondoka kuelekea uwanjani kusomba watu.
We ni moja ya watu wasiojijua ni vichaa, au low intelligence to put it clear
 
duh ila kanda ya Ziwa ilikuwa balaah...sikutegemea wananchi wamchukie JPM kiasi kile
Wamchukieje, umeona wapi kachukiwa, au ni namna yenu ya kutengeneza, kupinga diwan flan wa CCM sio kumchukia JPM
 
Mimi, familia yangu, wafanyakazi wangu wote nyumbani kura ni kwa LISSU, mapema kabisa asubuhi.
Hakuna mtu yoyote wa CCM ninayeweza kumpigia kura: CCM ni chama cha majambazi na wahuni.
 
Hakuna wasiwasi kwamba Lissu atashinda tena kwa kishindo; ila tunapaswa kulinda ushindi huu manake lazima ccm wataubadilisha. Kuna haja ya kumiminika mtaani kupinga udhalimu wa NEC.
Mnajishaua humu JF tu. Wakati hata wake zenu watampigia JPM the end of the day. Jiandaeni kisaikolojia
Lissu hana hoja, ni kubabwaja tu uko, af mnadanganya watu kuwa kajaza kumbe hamna kitu, mnatumia picha za zaman, kama CHADEMA Wameshindwa kujiendeleza na hella zao za Ruzuku hawajui zinaenda wapi watawezaje kuendeleza nchi sasa
Kwa muda wote nitakaojaliwa kuishi Duniani na katika ardhi hii ya nchi ya Uchumi wa kati chini, sitampigia kura mgombea yeyote wa CCM.

Naomba kuwasilisha waheshimiwa Wajumbe!
Kura ni kwa Lissu tu, Yaani nina hasira mno na fao la kujitoa kama vile nimemwagiwa petrol.
Nakukumbusha,kura yako ni moja tu,endeleeni kualikana muwe wengi,msiwasahau na wake zenu maana hao ndo watampekeka Magufuli madarakani😂
Mimi piana vijana wezangu hapa iringa tuna Jambo letu tar28.
Ngosha lazima arudi kuchunga
Udhalimu wenu umekaribia mwisho
 
Huna huo uwezo dogo, acha kujifanya shujaa nyuma ya keyboard.
Hakuna wasiwasi kwamba Lissu atashinda tena kwa kishindo; ila tunapaswa kulinda ushindi huu manake lazima ccm wataubadilisha. Kuna haja ya kumiminika mtaani kupinga udhalimu wa NEC.
 
Mnajishaua humu JF tu. Wakati hata wake zenu watampigia JPM the end of the day. Jiandaeni kisaikolojia
Wake zetu wampigie jiwe! Kwani wao hawajapigwa na haya maisha!!!??? Namaanisha wait wanaishi wapi??
 
Mwanzo Mimi nilikuwa namkubali Magufuli lakini hizi hapa ni sababu ambazo zinanifanya nimpe Rais wangu Lissu kura

1: Mpaka sasa hivi hamna aliyejibu hoja za Lissu kwa ufasaha!

2: Magufuli anachuki ya waziwazi tena inaonekana ni Mtu katili kwa vitisho anavyovitoa kwamba tusipochagua CCM na watu wake, hatatuletea maendelea hii kauli inakera tena inaudhi sana cjui kama yeye unajua! Alafu anaotuambia ni watu wazima wenye akili zetu! Anatulazimisha tuchague jambazi ilimradi yupo CCM? Sisi ni watoto?! Hizo hela anatoa mfukoni mwake! Kwa kauli hii kura Yangu hapati!

3: Tumeona viongozi wengi wa upinzani wakitekwa na kuuliwa na wengine kuuliwa hadharani( mawazo), hajawahi kutoa tamko lolote hadharani la hata kukemea lakini yule wa iringa katoa tamko hadharani, hizi chuki za waziwazi kwa upinzani, Kura Yangu hapati!!!!

4: Kitendo cha kuwaengua wapinzani peke yao, Hamna hata mbuge au diwani wa CCM hata mmoja aliyeenguliwa huu uonevu wa waziwazi kwa wananchi, wananchi tunaumia sana, kutuletea Mtu eti kapita bila kupingwa na jimbo lina watu zaidi 100,000 ni upuuzi wa hali ya juu! ( Magufuli hapati kura Yangu)

5: Magufuli ndiye kiongozi wa serikali alitakiwa awe mfano kwa wengine lakini amekuwa yeye wa kwanza kuvunja maadili ya uchaguzi NEC haifanyi chochote NEC ipo kwa ajili ya upinzani tu wala CCM , wananchi tunaona yanayofanyika!

6: Upinzani upo mioyoni mwa watu akina mbowe ni wawakilishi ttu, wanavyoonewa ndivyo mnavyotuonea wananchi, tuna makovu mengi sana tuliyoumia miaka 5, CCM mnasema mmefanya Maendeleo lakini wananchi hawana Amani, hawapo guru!

6: Suala la vitambulisho wengi hawakumuelewa lissu,mliojaribu kujibu mnatetea matumbo tu! Kuna watu vijijini wanafanya biashara kwa msimu tu sio siku zote, mfano mm Nina ndizi zangu shambani, nikipata mkunga wangu mmoja upo tiyari naenda nauza, alafu nasubiria tena, lakini nadaiwa 20,000 kwa ajili ya kitambulisho, mfano mkulima ana mchungwa wake mmoja, machungwa yanazaa kwa mwaka Mara moja, na ni ndani ya mwezi mmoja tu! Unanidai kitambulisho cha mwaka! Hapa ilitakiwa uwekwe utaratibu mzuri utakaomfaidi kila mmoja! Hamna wa kuijibu hii hoja

7: Upendeleo kwenye vyombo vya habari, sio kwamba vyombo vya habari vinashindwa kuriport habari ya upinzani ni kwa sababu vinatishwa sana vinaogopa,Hamna Uhuru tena

8: Kama kweli CCM inajiamini imefanya makubwa kwenye nchi hii , mbona inatumia nguvu nyingi sana mpaka na tunatishiwa hadharani, mimi naona CCM inapita kuburudisha tu (fiesta) wala sio kampeni,wananchi tunataka Sera sio wakata viuno majukwaani

9: Kiukweli wananchi wana hali mbaya mtaani,hela Hamna, vyitu vimepanda bei! Hamna nyongeza ya mshahara, ajira Hamna , alafu tunafarijiwa na ndege! Kura Yangu siwezi kuwapa CCM!

Tundu Lissu karibu ikulu ututee, maana hawa walio madarakani hata sheria ambazo wamejitungia wenyewe hawajui kuzifuata, inashangaza sana, mpaka Mkurugezi wa uchaguzi kitabu chake cha maadili ya uchaguzi hajawahi kukisoma!! Anatoa tu matamko wakishirikiana na mlinda mlango wa CCM( Polepole), Tundu una kazi, kweli unaacha kutoa Sera unaanza kuwapa NEC semina? Wewe ulitakiwa uwe mwanasheria wa nchi hii, maana hata aliyeko sijui ana kazi gani? Ni kuchukua kodi zetu tu!, kabla hujaenda Dodoma wakulipe posho ya Semina ya Jana!.

Wananchi tumuunge Mkono, Tundu Lissu, ndiye mzalendo wa kweli wengine wote ni wanafiki, nje wana maneno laini lakini mioyoni mwao ni umbwa mwitu!! Wananchi tunapenda Maendeleo lakini hatutaki kupelekeshwa kisa tu unatupa Maendeleo, tunahitaji kuwa na Amani, kuwa huru sio kila mara tunaona Ndugu zetu wanatekwa, wanauawawa , wanapigwa risasi, na hatuoni hatua yoyote ikichukuliwa kisa ni wapinzani, alafu Mtu mmoja anasema tumenunua ndege, tumejenga reli, tumejenga hospitali nk, je! Hivyo ni bora kuliko utu?

Hivyo ni bora kuliko damu ya mawazo, Azory, sanane, tundulissu, na wengine? Awamu ya tano hebu jipambanue vizuri! Msione watu wanafuata Tundu Lissu bila wakata viuno, yale ndiyo mapenzi yenyewe kwa mtu anayekubalika!! Leo ninaishia hapo!

Lakini ukweli ndo huo kura Yangu, familia Yangu ipo kwa mheshimiwa lissu!!!
Hongera. Kusanya na ukoo wenu wote, but urais atausikia tu. Jiandae usije ukapata ugonjwa ukacollapse siku hiyo.
 
Back
Top Bottom