Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM ni kusanyiko la matapeliHongera sana P.
Kwa hiyo idadi ya wagombea ilikuwa kubwa kuliko wapiga kura???
Ni ajabu, lkn inawezekana ikawa kweli pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni kusanyiko la matapeliHongera sana P.
Kwa hiyo idadi ya wagombea ilikuwa kubwa kuliko wapiga kura???
Ni ajabu, lkn inawezekana ikawa kweli pia.
Na hiyo kura moja ya kwake mwenyeweNa umaarufu wote ukaishia kura moja?
Hakuna mtu angempigiaNa hiyo kura moja ya kwake mwenyewe
Na bado matumaini ya kugombea tena unayoMkuu mdukuzi, jimbo la Kawe tulikuwa wagombea 176. Kati ya hao ni wagombea 50 tuu ndio waliopata kura. Wagombea 126 hawakuambulia hata kura moja!. Mimi nilibahatika kupata kura moko, hivyo nimewapita watu 126, ambao hawakupata hata kura moja!.
P
Ahaaa dah hii noma,njoo segerea huku jimbo liko wazi yule mama hatumtaki basi tu hajatokea mtu ngangari wa kumtoaMkuu mdukuzi, jimbo la Kawe tulikuwa wagombea 176. Kati ya hao ni wagombea 50 tuu ndio waliopata kura. Wagombea 126 hawakuambulia hata kura moja!. Mimi nilibahatika kupata kura moko, hivyo nimewapita watu 126, ambao hawakupata hata kura moja!.
P
Kupata 1 wengine wapate sifuri haimaanishi umefaulu. Wajumbe siyo watu wazuri.Mkuu mdukuzi, jimbo la Kawe tulikuwa wagombea 176. Kati ya hao ni wagombea 50 tuu ndio waliopata kura. Wagombea 126 hawakuambulia hata kura moja!. Mimi nilibahatika kupata kura moko, hivyo nimewapita watu 126, ambao hawakupata hata kura moja!.
P
Mkuu mdukuzi, jimbo la Kawe tulikuwa wagombea 176. Kati ya hao ni wagombea 50 tuu ndio waliopata kura. Wagombea 126 hawakuambulia hata kura moja!. Mimi nilibahatika kupata kura moko, hivyo nimewapita watu 126, ambao hawakupata hata kura moja!.
P
Una maana hakuna wanaume ngangari huko wote mdebwedo tuu?Ahaaa dah hii noma,njoo segerea huku jimbo liko wazi yule mama hatumtaki basi tu hajatokea mtu ngangari wa kumtoa
Mwama 2020 walijitokeza midebwedo ila mwaka 2025 nachukua fomu nimezaliwa segerea nimekulua segerea,wajumbe wote wazee wangu japo hawatabirikiUna maana hakuna wanaume ngangari huko wote mdebwedo tuu?
Wagombea tulikuwa 176. Jimbo la Kawe lina kata 10. Kila kata ina mashina 10, kila shina linatoa wajumbe 4, hivyo idadi ya wajumbe ni 4 × 10 × 10= 400.Hongera sana P.
Kwa hiyo idadi ya wagombea ilikuwa kubwa kuliko wapiga kura???
Ni ajabu, lkn inawezekana ikawa kweli pia.
Mkuu Daudi Mchambuzi , mara tuu baada ya matokeo ya kura za maoni, nilileta mrejesho humu,Tunaomba mrejesho.
Mkuu Kadhi Mkuu 1 , in life, hakuna kitu kizuri kama kujaribu!. Try, make an attempt, the experience you get, you will never be the same again!. I tried, I got the experience.Kupata 1 wengine wapate sifuri haimaanishi umefaulu. Wajumbe siyo watu wazuri.