Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

Dah km kwel sis hik kitu nakutana nacho sasa hv naona mpka familia yangu imentenga nko upweke leo mchumb wangu tumeachan daah asee nifanyaje mimi kuach siwez sasa
Jiweke karibu na familia usiruhusu mmea ukutenganishe nao. Uzuri mimi nasmoke nikiwa kwangu...nikisafiri nasahau kabisaaa. Pia mr nae anasmoke so ni raha tu hakuna kumjudge mwenzake, halafu napenda kukaa mwenyewe so kwangu upweke haunisumbui..
Jitahidii isikucontrol.
 
Hivi mbona US inaruhisiwa kisheria,? na hata daktari anaweza kukuandikia ukavute kama ukikutwa na shida flani flani za kiafya.
 
Dah km kwel sis hik kitu nakutana nacho sasa hv naona mpka familia yangu imentenga nko upweke leo mchumb wangu tumeachan daah asee nifanyaje mimi kuach siwez sasa
Jitahidi kuacha kwa kujiingiza kwenye uvutaji wa sigara, Yan ukiikumbuka hiyo sigara kubwa unavuta fegi badala yake.
Bila hivo hata jamii itakutenga. Na mwisho wa siku unakosa mwelekeo wa maisha
 
Mimi napendaga fegi zaidi kuliko hayo makitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…