Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nimeona fursa hapo ngoja nijifunze kutengeneza mafuta yakeBaadhi ya nchi bangi hutumika kama dawa hii ni true kabisa kiscience pia mafuta yatokanayo na mmea wa bangi ni dawa kiboko kabisa ya sikio kwa sisi tunaomoka tunaitumia kama dawa ya depression Mara moja moja japo sio suluhisho ila kwa kurelax bangi ni kiboko alcohol inasubiri mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app