Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Kuna jamaa nilimpa buku akanunue..
Alileta kiasi ambacho tuliweza kutengeneza misokoto mitatu ya liza imejaa full.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa nilimpa buku akanunue..
Hiyo sio shada hayo ni makapi ndio maana mnawehuka halafu mnaifanya hii kitu ionekane mbaya mi nikitoa buku 2000 napata stick inayoweza kutoa joints 3 kitu cha kigoma mara moja moja sana ndio navutaga haya mapuya ya moro ambayo moja ni jero kiboko ya yote weed nzuri ni skunk tatizo ni gharama na ukishaizoea ni shida hizi nyengine unaona hovyo kabisa yani kama vile mtu wa Hennessey umpe kvant hato feel good japo zote ni spiritKuna jamaa nilimpa buku akanunue..
Alileta kiasi ambacho tuliweza kutengeneza misokoto mitatu ya liza imejaa full.
Hapo sawaKuna jamaa nilimpa buku akanunue..
Alileta kiasi ambacho tuliweza kutengeneza misokoto mitatu ya liza imejaa full.
Hayo yako sasa,Hiyo sio shada hayo ni makapi ndio maana mnawehuka halafu mnaifanya hii kitu ionekane mbaya mi nikitoa buku 2000 napata stick inayoweza kutoa joints 3 kitu cha kigoma mara moja moja sana ndio navutaga haya mapuya ya moro ambayo moja ni jero kiboko ya yote weed nzuri ni skunk tatizo ni gharama na ukishaizoea ni shida hizi nyengine unaona hovyo kabisa yani kama vile mtu wa Hennessey umpe kvant hato feel good japo zote ni spirit
Bangi ni kama mapenzi
hahahaha2018 uliomba msaada wa kazi ukisema usipopata kazi unaweza kua stressed na kutumia madawa ya kulevya,umepata kazi unaanza kulia lia ukisema unataka kuvuta bangi tena.
Vuta tu dogo.View attachment 1323397
dodge
Daaaa ngoja mimi nikushahuri kitu hapa haraka haraka,
Kama utaamua kuvuta bangi basi usifanye starehe nyingine yoyote ili kuweza kusonga mbele kimaendeleo, acha uzinzi na usiwe mnywa pombe hata kidogo.
Bangi ni nzuri sema sisi ndio wabaya, vuta kidogooo kwa kiasi, usivute sanaaa hadi ukalewa.
Hilo tu mkuu.
Bangi ni mbaya inakatazwa kwa sababu ina bei ndogo, bangi ya buku tu unaeeza rudi kwenu ukitambaa...
Lakini buku yenyewe hata bia tu hupati.
Ila najua kuna siku huwa kanakuja kaujinga furani unaamua kuzidisha hicho kipimo.Mm natumia kvant chupa ndogo nusu, nachanganya na energy drink, aisee nakuwa na akili nyingi balaa, inanisaidiaga kufanya maamuz magumu kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mkuu bangi iache tu siku moja kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza tukapewa assignment ya group najicheki mwamba confidence sina na inabidi kupresent kama kesho dadeki nikawaza nafanyaje Mwanangu mmoja kwajina nilikuwa na mwitaga mtoto wa obama akashauri tupige pombe mimi nikamchana itakuwajau.
Nikashauri tupige bangi bwana wewe asubuhi yake tukapiga ganja mwenzangu zikazidi sana mimi sio sana kufuka class presentation ikagairishwa sijui tulipatwa na nini tulitukana sana kusema tunapotezewa muda na maneno mengi plus kuona kama watu wanatembea kama wanakata mauno ilikuwa shidah sana ushauri usitumie usijekuwa kituko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Honestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukraniNaomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia. Kwanza lazima...www.jamiiforums.com
Ila najua kuna siku huwa kanakuja kaujinga furani unaamua kuzidisha hicho kipimo.
@Demi ww umeacha kutumia mjani?Bangi itakufanya uwe mpweke zaidi, utajisikia kujitenga na watu. Kiufupi haitakusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi haijengi utegemezi mkuu! kahawa, chai, vinajenga utegemezi (addiction) ila bangi haina...Kijana bangi ni kilevi....madactari wanaweza elezea hamna inavyoleta utegemezi( addiction) ktk Maisha. Fahamu tu, utakapoanza tumia.. nakwambia itakuwa umepoteza self control tlk Maisha.utakuwa mtumwa.. yaani bangi ndio itakupa uongozi Wa namna kufanya mambo ktk Maisha. Acha MARA MOJA KUWAZA KUTUMIA...NA BADALA YAKE nenda kwa washauri wasaikologia...hapa siongelei wanasaikologia..bali washauri Wa saikologia...ni watu tofauti Hawa.. akashauri. Kama huna uwezo tafuta sana video clip..zinazoongelea naomna ya kuboost ur self esteem...maana tatizo lako kuu ni kukosa self esteem.. na inavyoonekana tangu utoto huukujengewa hii na wazazi ama Jamii inayokuzunguka. Mara nyingi what we experience in childhood..define our personality. Futa hadithi n a feedback zote negative ulizojengewa utotoni..na Anza kusitathimini uwezo wako...yale utayojiona uko vizuri..jisifu na kidogokidogo utajiamini.
Honestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukrani