Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya


Jr[emoji769]
Hahahah asante kwa ushairi wa nyota tank boss ila nakushauri urudi kwenye ule wa ADUI WA MAENDELEO yani mtu unaenda bar na laki mbili umepanga kutumia elfu 20 asubuhi unarudi nyumbani na buku tano mfukoni na hofu juu imekutanda maana unakumbuka zilipopanda ukang'oa mlupo ukafanya ngono zembe mkeo hujakaa sawa mara umejitapikia mnimg'inio unakupa mawenge unajisika hovyo unashindwa kwenda kwenye mihangaiko yako ya siku...
DONT DRINK AND DRIVE
SMOKE AND FLY HIGH
 
Nikizidisha kipimo sienjoy....., Unajua saikolojia ya makuzi ndo inatuathiri sisi sometimes tunakosa kujiamini.....kuna uzi upo unazungumzia ma introvent na extrovent, wengine ni asili yao wengine ni athari ya makuzi ya kunyanyapaliwa, tabu, dhiki alizopitia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.
Mwanume wa kweli hufanya mambo kwa kipimo na malengo
 
40791092-8432-4918-A46B-969B4F8EA4C7.jpeg
karibu mkuu
BabaMorgan
Demi
Suriya
 
We gonga to mshikaji si ulishaamua. Ungetushirikisha kabla ya kuanza
Honestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.

Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.

Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa

Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.

Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huku kwetu ni hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
The same kwetu
Nnae mwanangu m1 N’doto, Ndo huwa ananifanyiaga mafekeche, natumia ila kuroll sijui so huwa nampa Kazi ya kuroll Nkitoka job napitia
1stick Inanitosha

Only for relaxation and meditation 🧘‍♀️
Mda mwingine Kurelieve Pain
 
Hiii hii Bangi ambayo ikusaidie "ukivuta nzi unamuona kama hedikopta!!!"
 
The same kwetu
Nnae mwanangu m1 N’doto, Ndo huwa ananifanyiaga mafekeche, natumia ila kuroll sijui so huwa nampa Kazi ya kuroll Nkitoka job napitia
1stick Inanitosha

Only for relaxation and meditation [emoji3284]
Mda mwingine Kurelieve Pain
Ina release pain gani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kitu cha strawberry paper hicho hizo paper unanunuaga wapi mwanangu mi napendaga za lemon ila jamaa anaenileteaga now yupo zenji nipe direction mkuu
Huwa sinunui pepa mkuu , Hata kuroll sijui kuna mwana (Pusha) Huwa nampa tenda anaroll Napitia ila nitamuuliza anapata wapi nitakujulisha
 
Ina release pain gani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
maumivu ya kichwa
Viungo
Huwa siitumii kama kilevi most of time
Huwa natumia Pembeni nakula matikiti, Machungwa, Au juice yeyote natural au maji
Kwa kuwa ukitumia maji yanakauka mwilininkwa kiasi kikubwa

Sijawahi jutia kutumia 🚬

MTUMIAJI USIZIDISHE
 
maumivu ya kichwa
Viungo
Huwa siitumii kama kilevi most of time
Huwa natumia Pembeni nakula matikiti, Machungwa, Au juice yeyote natural au maji
Kwa kuwa ukitumia maji yanakauka mwilininkwa kiasi kikubwa

Sijawahi jutia kutumia [emoji377]

MTUMIAJI USIZIDISHE
Basi kwangu haijawahi kuwa dawa ya maumivu, nikiwa naumwa nikatumia maumivu yako pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kwangu haijawahi kuwa dawa ya maumivu, nikiwa naumwa nikatumia maumivu yako pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya nchi bangi hutumika kama dawa hii ni true kabisa kiscience pia mafuta yatokanayo na mmea wa bangi ni dawa kiboko kabisa ya sikio kwa sisi tunaomoka tunaitumia kama dawa ya depression Mara moja moja japo sio suluhisho ila kwa kurelax bangi ni kiboko alcohol inasubiri mbali sana
 
Baadhi ya nchi bangi hutumika kama dawa hii ni true kabisa kiscience pia mafuta yatokanayo na mmea wa bangi ni dawa kiboko kabisa ya sikio kwa sisi tunaomoka tunaitumia kama dawa ya depression Mara moja moja japo sio suluhisho ila kwa kurelax bangi ni kiboko alcohol inasubiri mbali sana
Shida 1 ya Marijane ni kiu/Kupungukiwa na maji ani utajilamba mpaka basi ,
I respect ✊ Marijuana
 
Sintasahau siku natest kijenereta changu nimekiwasha kimekaa kama dk 5 hivi akatokea mwamba mmoja simsomi vizuri akaanza kucheza dizaini anaendana na ule mlio wa jenereta. Amecheza wee mara kikawa kimezima mara ananiuliza eti bro hii ngoma ameimba nani, kwa mshangao nikamuuliza ngoma gani anasema si hii niliyokuwa nacheza. Nikaona anazingua nikamwambia imeimbwa na Honda, jamaa likafurahi kweli likaaga kuwa likifika magwtoni litamsaka huyo msanii youtube. Kimoyo moyo nikasema shikamoo bangi
[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom