Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

Mkuu mkuu bangi iache tu siku moja kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza tukapewa assignment ya group najicheki mwamba confidence sina na inabidi kupresent kama kesho dadeki nikawaza nafanyaje Mwanangu mmoja kwajina nilikuwa na mwitaga mtoto wa obama akashauri tupige pombe mimi nikamchana itakuwajau.

Nikashauri tupige bangi bwana wewe asubuhi yake tukapiga ganja mwenzangu zikazidi sana mimi sio sana kufuka class presentation ikagairishwa sijui tulipatwa na nini tulitukana sana kusema tunapotezewa muda na maneno mengi plus kuona kama watu wanatembea kama wanakata mauno ilikuwa shidah sana ushauri usitumie usijekuwa kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usivute ina madhara so nenda hospital utapata msaada na huyo rafiki aliye kupa wazo hili ndo mchawi wakwanza
Over
 
Tena ili utatue matatizo uwe unavutia chooni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mchimba Chumvi, Siku nyingine usiite bangi maana hili jina limekaa kihuni huni sana ita Dawa,Todi,Kaya,misumari,kijiti ,Nyasi samusing laiki zati

ni kitu cha amani ambacho hakina tatizo na mtu kabisaa mkuu niamin mimi tumia na uta kuja nipa mrejesho
 
Uvute bange ya Tarime au Njombe hiyo ndio kali sio fololo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bangi ina chemicals zaidi ya 400

So, kuwa makini unapoivuta inaweza kukupa kujiamini au kutokujiamini (kujishtukia)

Unaweza kujiamini kupitiliza, Boss ukamuona kama mfanya usafi

Ila ina faida nyingi pia kama ukiivuta.

Bagwell
Hahaaaa bangi nibangue watu wote niwaone kama sisimizi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom