santeee....... Hili lifirauni Mzee halinipati ng'oo!
shem wangu nishamtoa kwny list
nafasi yake nimemuweka muanzilishi
wa vita hii Mzee!!lazima ageuzwe bata nakwambia!!
Lady doctor. Si bure una laana wewe????
nani hii ndio nini
tiririka!! Ruttashobolwa mic u!!
Hebu mtaje mmoja kwa Jina.
Mzee unapenda utamu wewe, yani hapo wadadas wa watu faini ni utamu tu, hahaha
thubuuutuuuuuuu!!!
kwanza tutakusukule wewe
kabla hujatufanya lolote!!
jiashaue kama kibao
hakijageuka,nitakugeuza bata wew Mzee!!
shem wangu nishamtoa kwny list
nafasi yake nimemuweka muanzilishi
wa vita hii Mzee!!lazima ageuzwe bata nakwambia!!
shem wangu nishamtoa kwny list
nafasi yake nimemuweka muanzilishi
wa vita hii Mzee!!lazima ageuzwe bata nakwambia!!
Khaaaaa! Mzee sasa itabidi familia ikae km kamati ili niweze kuongea na mme wangu Rejao ili anipe Baraka zake kwa jukum hili ulilonipatia.ila najua hapo ni wivu tu ndio unakusumbua tu Mzee maana unaona ukiniweka kwenye kamati na mme wangu Rejao nitafaidi sana lol!Cantalisia.
Hapa hatufanyi kazi kwa misingi ya uume na uuke.
Mizuka mtapeena huko nyumbani kwenu.
Ombi lako limekataliwa.
Mzee kwa staili hii basi utaunganisha wengi aisee