Nimeamua kuweka wazi

Nimeamua kuweka wazi

Mzee nashukuru sasa nimeelewa ww ni mee.kuhusiana na kamati uliyonipatia naomba umwongeze mme wangu Rejao kamatin ili nipate munkari wa kutimiza majukumu yangu uliyonipatia


Cantalisia.

Hapa hatufanyi kazi kwa misingi ya uume na uuke.

Mizuka mtapeena huko nyumbani kwenu.

Ombi lako limekataliwa.
 
Last edited by a moderator:
Cantalisia.

Hapa hatufanyi kazi kwa misingi ya uume na uuke.

Mizuka mtapeena huko nyumbani kwenu.

Ombi lako limekataliwa.
Khaaaaa! Mzee sasa itabidi familia ikae km kamati ili niweze kuongea na mme wangu Rejao ili anipe Baraka zake kwa jukum hili ulilonipatia.ila najua hapo ni wivu tu ndio unakusumbua tu Mzee maana unaona ukiniweka kwenye kamati na mme wangu Rejao nitafaidi sana lol!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom