Nimeamua liwalo na liwe!

Nimeamua liwalo na liwe!

Wew kweli unania ya kujengaa hongera sana mijitu eti mkp waweke tail za spanish wakt kuna tails box moja elf 17

Hata mimi nashangaa mtu analazimisha ufanye finishing ya gharama kama yeye!,finishing ni kama ndoa tu unaweza ukafunga ndoa kwa gharama za milioni 50 ,mwingine akafunga kwa gharama za milioni 2 na mwingine akaowa kwa gharama za laki tu na mwingine bure kabisa,serikali yenyewe inaweka tails hizi hivi za mchina kwenye majengo yote ya serikali wewe ni nani sasa ushindane na serikali kuweka tails za Spanish!![emoji276]
 
Wakuu bado nahitaji wataalamu ili kufikia ndoto yangu!nina alegi na nyumba kubwa [emoji851]lengo bado ni hili hili la min ghorofa ukubwa ni ule ule mita 5 kwa 5, si ni sawa na SQM 25 wakuu ama sipo sahihi?,na kama nikiwa sahihi ina maana 25x 500,000=12500000tsh nitakuwa nimemaliza kabisa sebule chini [emoji2956]ina maana nikifanya 25x25(juu na chini)=50SQMx500000=25000000tsh ,nitakuwa nimekamilisha ndoto za kutema mate nikiwa juu!ama naongopa ndugu zangu?
 
Wakuu bado nahitaji wataalamu ili kufikia ndoto yangu!nina alegi na nyumba kubwa [emoji851]lengo bado ni hili hili la min ghorofa ukubwa ni ule ule mita 5 kwa 5, si ni sawa na SQM 25 wakuu ama sipo sahihi?,na kama nikiwa sahihi ina maana 25x 500,000=12500000tsh nitakuwa nimemaliza kabisa sebule chini [emoji2956]ina maana nikifanya 25x25(juu na chini)=50SQMx500000=25000000tsh ,nitakuwa nimekamilisha ndoto za kutema mate nikiwa juu!ama naongopa ndugu zangu?
Dah!
Screenshot_2022_1124_140314.jpg
 
Ghorofa nzuri sana mkuu,ila mimi nayotaka ni just one single room [emoji276]hapa naomba tuwekane sawa [emoji28]nitaishi peke yangu sifugi majini kiongozi mimi ni jesh la mtu mmoja tu familia nitawajengea banda pembeni
Sawa Sawa mkuu. Pambania malengo yako. Liwalo na liwe [emoji23]
 
Wakuu ndoto yangu mwenyezi Mungu akinijalia uzima ni lazima nijenge kighorofa chumba kimoja tu!

Kutema mate ukiwa juu aisee kuna raha yake! Kupiga bao ama kushangilia goli ukiwa juu!

Wataalamu chumba kimoja na sebule yaani sebule chini chumba juu kwa makadirio inaweza kunicost bei gani?
Ukubwa ni mita 5 kwa 5.

View attachment 2424451
View attachment 2424452
317511247_1559387861244070_1748987475411406051_n.jpg
317589775_1559387907910732_5988659528196249740_n.jpg
317549197_1559387817910741_8906492552055622778_n.jpg

Naamini hii design ni simple and standard. Haitakuwa na gharama kubwa
 
Back
Top Bottom