Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ Hapa nipo kupika pilau la idd kwanza usinichanganye uduguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husiano chaliii ama niajee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Hapa nipo kupika pilau la idd kwanza usinichanganye uduguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husiano chaliii ama niajee?
Sio kitu ya kuuliza π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husiano chaliii ama niajee?
Sampuli hizo nenda facebookNimeamua nibadilishe type za wanaume π
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ππππ
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiππππ
The list goes on ππππππ
Umesha test aina ngap za w.ume mpaka saaq ?Nimeamua nibadilishe type za wanaume π
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ππππ
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiππππ
The list goes on ππππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapa nipo kupika pilau la idd kwanza usinichanganye uduguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em sema kwelii?Sio kitu ya kuuliza [emoji1]
Pia asiwe na helaNimeamua nibadilishe type za wanaume π
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ππππ
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiππππ
The list goes on ππππππ
Hao ni wanaume karibu 20. Ngoja waje
Utamaliza bucha nyama ni Ile ile