Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume πŸ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
The list goes on πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Sampuli hizo nenda facebook
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume πŸ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
The list goes on πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Umesha test aina ngap za w.ume mpaka saaq ?
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume πŸ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
The list goes on πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Pia asiwe na hela
 
Back
Top Bottom